radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Argentina wangekuw mabingwa wa copa amarica kama mess angepata penat huu mjadala ni wa kitoto kwa watu wa mpira hivi epl kuna timu haijapiga penat na ikashinda? Nitajie timu iliyokataa penat baada ya mwamuzi kutoaSasa kwann mnategemea penalti tu? Kwan safu yenu ya ushambuliaji haiwezi kufunga mpaka mpewe penalti.?