Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nakumbuka mwanzo alichezeshwa hiyo nafasi pamoja na hao madogo,hoja ikawa amezungukwa na mediocre players wakati hao hao wakimzunguka bruno tunaona ubora wake.
Bado haijulikani pogba anataka nini ili awe kwenye ubora wake.
 
Tumpe muda gani tena?,it's five years now..ukiacha msimu wa 2018-2019 aliojitahidi kidogo,Pogba amekuwa sio mchezaji bora tunayetamani kumuona
Tumpe nafasi ya game times nyingi ajiamini zaidi.

Bado wachezaji wengi wa pale man u ni kama homa ya vipindi,,

Leo wapo form ,,kesho wameshuka viwango.
Bado pogba hajazungukwa na watu sahihi pale man u.

Tunachotakiwa kufanya ni kumletea watu pogba,,
watakao mzunguka ili awe free na dance zake...
Bado pogba ni mchezaji mzuri ,,
nakumbuka hata msimu wake wa kwnz watu walimuongelea vibaya sn,,
Baada ya muda akakaa sawa...Kiwango chake kikarudi kuwa juu.

__Tumpe confidence pogba,,,
--- Aanze first 11.
-- ole abadilishe mfumo ambao utamfanya awe free zaidi..
Na sio kumzodoa...

Ni kwl pogba huyu wa leo sio yule wa juventus...
lakini tumpe muda wa kirudi kwnye Kiwango chake.
 
Kwahiyo Pogba akianzishwa attacking midfield au asipotokea benchi defence itaimarika ?
 
Halafu unasemaje defense yetu haikuwa imara last season wakati tulifungwa goli chache kuliko timu zote except Liverpool tu ?
 
Mkuu mie nashauri tutengeneze timu bila kujali uwepo wa pogba.
pogba sio messi wala ronaldo kwamba ni aina ya wachezaji wanaopatikana mara moja kila baada ya miaka 50-100
Kwanini tufanye mabadiliko mengi hivyo ili tu kuupata ubora wa pogba?
Kitu cha msingi tutengeneze timu ambayo inacheza kama kitu kimoja kuanzia kukaba kushambulia.
Fikiria tufanye mabadiliko mengi hivyo halafu kwa ajili yake halafu anapata majeraha ya kumuweka nje miezi kibao nje,tutalia
Ukichanganya na kauli zake za hivi karibuni,jamaa atuachie timu yetu akatafute malisho mema kwingine tu
 
Nakumbuka mwanzo alichezeshwa hiyo nafasi pamoja na hao madogo,hoja ikawa amezungukwa na mediocre players wakati hao hao wakimzunguka bruno tunaona ubora wake.
Bado haijulikani pogba anataka nini ili awe kwenye ubora wake.
Ukweli mchungu huu, jamaa amebadilishwa kila mfumo lakini hakuna kinachobadilika.
 
Hivi mechi yetu na Instanbul na Arsenal Pogba alicheza position ipi ?
Pogba alianzia bench mkuu,,
Tukicheza na matic dmf..na VDB pamoja na.mata..na Bruno..
Ndy nasema Yale Yale bado timu ilikosa dmf wawili...timu ilikosa defensive sehemu ya beki..dvb ni attacking midifilder...
 
Ni kwl hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya club.
Lakini pia tuangalie yeye pogba analalamikia kitu gani?

Isije ikawa tatizo ni ole ,,,kwani pia hakuna kocha mkubwa zaidi ya club.
Anapaswa afate ushauri ..
 
★Bruno Fernandes: “A coach said to me, “If you want to be a top player, you will need to play as a central defender. If you want to be a good player, you will be a midfielder.” I think he was wrong but maybe as a central defender I could be much better I don’t know!”!★

#GGMU



manutd |
 
Pogba asepe tu. Hana msaada Man U tofauti na utozi aende huko akawape hudumu na kuvuta oxygen anayodai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…