Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,697
- 32,447
Ukweli ni kwamba ujio wa Bruno umeua influence ya Pogba kwenye timu na hata kwa Mwalimu.Jamaa pia kashapoteza ile influence aliyokuwa nayo hapo nyuma ndani ya United..ni muda sasa aondoke maana hata ubora wake hatujauona kwa level tulizozitaka..
Mwanzoni Pogba ndiyo alikuwa kila kitu pale United lakini sasa hivi hata kucheza hatazamwi kama ndiyo key man wa timu.
Kuanza kuwekwa benchi mara kwa mara ni ishara tosha kuwa hata mwalimu hamuamini tena kama zamani.
#TB

inajikuta inaijua hii timu wakati halikuwa hata na Dream
yakuwa O.T fara hili 
