Halafu hapo Arsenal kamfunga Man Utd anajisifu
Ole plan A yake inapofeli hajawahi kuwa na plan B yenye mafanikio
Hii game ya leo tungecheza mipira ya krosi mingi au ya juu kuangukia kwenye box ya adui tungepata magoli
By the way timu ilikuwa ina urgency gani kiasi cha kwamba tumeanza game mpaka mabeki wote wanakwenda kushambulia na tunamuacha Demba ba peke yake
Bora hata timu apewe Kaze
, Ole atupishe tu