Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

  • Manchester-United-v-Bayer-Leverkusen-Robin-va_3005125.jpg
 
Kama Man U ingethubutu kumuuza Rooney na sisi msimu huu tungekuwa na majuto kama ya Arsenal kwa kutukabidhi RvP. Ukiwa na lile bunduki kubwa usimkabidhi adui yako.
 
Game ilikuwa ya kushinda goli 7,now timu imeanza kutengeneza nafasi
 
[h=4]From OptaJoe[/h] 18 - Man Utd are playing in the Champions League for the 18th consecutive season, the longest current run of any side.
 
Game ilikuwa ya kushinda goli 7,now timu imeanza kutengeneza nafasi
Nakubaliana nawe kbs, tumekosa goli za wazi kama tatu hivi. Hope Moyes atarekebisha kwikwi hizo
 
Wale wa kutuambia tumebebwa leo siwaoni,sijui hakuangalia game au wamepatwa na maswahibu gani?lol!
 
Wale wa kutuambia tumebebwa leo siwaoni,sijui hakuangalia game au wamepatwa na maswahibu gani?lol!

goli la kwanza ilipetwa offside kwanza ndo rooney akafunga,walizidi wachezaji wawili wa manure wakarudisha mpira nyuma kabla ya kupewa tena evra alyetia kros iliyomkuta rooney!
Ila kadi ya R.V.P ni ya uongo refa kamwonea haina ubishi
 
Back
Top Bottom