wana shuti moja tu on target, tena shuti lenyewe hata halikuwa hatari, wana posses bila kutengeneza pasi za maana. wakati sisi hatuna possession kubwa ila tukifika golini kwao tunakuwa Hatari, isingekuwa kipa wao pengine tungekuwa zaidi ya goli 1 tunaongoza. na goli letu limetokana na Kuwa press, Fred kawin mpira kampa Pogba na kwenda kwa Greenwood.