Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mechi yetu na chelsea tulicheza vizuri.

Kosa la timu zote zilicheza kwa tahadhari kubwa kupita kiasi mpaka tukapata goalless draw.

Watu wanamlalamikia Daniel James kwangu mimi naona aliyetuangusha ni Juan Mata badala ya kukaa upande wa kulia alirudi katikati hivyo kapunguza threat kwa chelsea upande wa kulia.

Kukosekana kwa mtu upande wa kulia kuwafanya chelsea wajae kushoto na kuziba passing lanes zote.

Ulikuwa ukiangalia wachezaji wetu na wa chelsea ni kama wote walikuwa wamejaa upande wa kushoto huku kulia Zouma na Chilwell walikuwa kama walipumzika hawakuwa na cha kufanya zaidi ya kutumika kama absorber ya mashambulizi yetu tu.

Badala ya Mata Solkjaer angeanza na Greenwood Mapema au Cavani ili Rashford acheze kulia na Daniel James aendelee kuwa huko left.

Kuna watu wanalalamika why Solkjaer alimuanzisha Daniel James over Donny Van De beek, kwanza Donny siyo winger na hana pace hivyo kumchezesha kule kwa Reece na Cezar ingekuwa disaster kwetu.

Pili James mara nyingi huwa anakuwa invisible kwenye defensive role anatrack back vizuri sana lakini anaongeza threat nyingine kwenye kushambulia kwa counter attack.
 
By the way chelsea wakicheza vizuri pia walihakikisha wanaua link ya Bruno na Juan Mata at the same time walineutralize threat ya Daniel James Kushoto.

Kipa wao alifanya saves nyingi ambazo kwa golikipa shati kama Kepa yalikuwa magoli ya kutosha tu.
 
Ligi ya msimu huu ni ngumu sana kila mtu anapata mnyonge wake jana Leceister kajipigia wake London babies pale pale kwao.

Southampton nao wakajipatia mnyonge wao wakampiga vizuri tu.

Tujiandae kwa mechi ijayo siku ya jumatano dhidi ya watoto tukutu kutoka Germany.
 
Huyo nae kavurugwa anajifanya ana uchungu na timu kuliko hata wazawa
Kwa sababu mpaka sasa dogo ameshacheza mechi nne japo hajaanza zote.

Tulikuwa tunalilia squad depth sasa tunayo Evra anapiga kelel tena.
 
The FA has urged Premier League clubs to accept its new system that will block "lower quality foreign players" from joining in the January transfer window.

PTER , Tanayzer , Chief-Mkwawa , Mc cane n.k
Kuna ongezeko kubwa sana la average players kwenye epl lakini kundi kubwa huwa wanasajiliwa January kwa sababu timu nyingi husajili kwa kuongeza squad depth na kuziba mapengo ya wachezaji wao waliopata injury.
 
Kila mtu sasa yupo concerned na huyu dogo.View attachment 1612466
Asingekuja VDB inamaana tupo 1 injury away from distaster ikitokea kaumia Fernandez.

Na evra anaongea maneno hayo kwenye ubishi, ameongea pumba nyingi sana, na vyombo vya habari vina quote kama yupo serious.

Man united ya 2008 na 1999 pengine ndio bora zaidi na sifa ya hivi vikosi ni depth.

Evra yeye kacheza united ya 2008 katikati ilikuwa na Scholes, Hagreaves, Anderson, Carrick na fletcher hawa wote walikuwa ni proven mid, pia kulikuwa na watoto kama Gibson na Possebon.

VDB, Fred, pogba, fernandez na Matic hao ndio proven Midfield wetu na Mctominay toka Academy, hatuna depth kama ya 2008 lakini Bado Evra anaona VDB hatumuhitaji?
 
★"He's watching the game in the stand every game because we don't need him."


Patrice Evra has been left confused by Man Utd's decision to buy Donny van de Beek.★



manutd |
 
★Manchester United 2-0 Arsenal.

The Invincibles' 49-game unbeaten run ends.

Cesc Fabregas throws pizza at Sir Alex Ferguson.

16 years ago today


manutd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…