Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,060
- 43,477
Ni kweli ila aliingia sub hii mechi, na James kucheza Kulia na akicheza Kushoto ni tofauti kabisa kimajukumu. Kushoto ndio upande wetu ambao magoli yanatoka wakati kulia kuna Bissaka ambaye hata akikaa na james wanakaba kaba tu kule hakuna expectation kubwa.mkuu kwa mechi ya jana kama martial angelikuwepo basi naamini daniel james angelipelekwa upande wa kulia.
daniel james mechi za chelsea anacheza mara kwa mara na ndio game plan ya ole
FA CUP = chelsea 3 man utd 1
View attachment 1611362
===========Man Utd 1-3 Chelsea: David de Gea has semi-final to forget as Blues book FA Cup final date with Arsenal
Increasingly error-prone David de Gea was at fault twice as Chelsea ended Manchester United's long unbeaten run with a 3-1 win at Wembley to book their place in the FA Cup final against Arsenal.www.skysports.com
premier league
chelsea 0 man utd 2
View attachment 1611366
premier league
man utd 4 chelsea 0
aliingia kipindi cha pili
Angalia position map ya jana
Mata winga wetu wa kulia alikuwa anacheza kati kama Fernandez vile, chelsea walijaza wachezaji kibao kushoto kuharibu mipango yetu, kulia kwetu wakimuacha Chilwell akipita tu,
Kama Martial angekuwepo na kushoto kukawa na Mtu hata Kulia Angecheza james story ingekuwa nyengine kwa Hilo gape na Jinsi Chelsea walivyobet.
Ndio maana Mkuu unaona Tunapiga sana kelele hii issue ya winga wa Kulia, mimi naamini Hata Bissaka sio mbaya ushambuliaji kama watu wanavyoamini bali hana tu patner kule mbele, muda wote akipewa pasi Bissaka yeye ndio last man hana wa kumpasia, mata yupo katikati.