Pengine OGS ameenza kuelewa sanaa ya kupaki basi, msimu ujao atakuwa amefuzu kupanga kiungo na msimu wa kesho kutwa atakuwa kajua kupanga goal getter kama bado tutakuwa Premier league.
Kiungo wa kupokea kutoka kwenye ulinzi na kulisha attackers hakuna.
Carrick, Scholes, Fletcher, Hargreaves, Keane, Anderson, Herrera
Giggs, CR7, Nani, Beckham, Chadwick, Bellion
Rooney, Van Persie, Tevez, Owen, Larson, Hernadez, Forlan
Watu wa mtindo huo hawapo tena siku hizi? Beki ilikuwa sawa haswa.