Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lazy boy.
 
Mkuu wewe humpendi


Na hili ndio tatizo ninaloliaona kwa mashabiki wengi

Mfano kipindi kile cha Jose watu walikuwa wanaombea Man Utd wapigwe ili ku prove point kwamba Jose hafai

Inawezekana leo kuna mashabiki wa United wamejisikia unyonge/vibaya Man Utd kushinda kwa kuwa tu timu chini ya Ole imeshinda

Haitakiwi kumpenda kocha/mchezaji kuliko unavyoipenda timu yako na kushabikia timu ishinde au ifungwe just to prove your point
Wazee sema mpira bila unafki hauendi..wale wasio/tusio mpenda Socha tumpe hongera leo basi hata kinafki..he got his tactics correct..Au ni juhudi za wachezaji?
 
Wazee sema mpira bila unafki hauendi..wale wasio/tusio mpenda Socha tumpe hongera leo basi hata kinafki..he got his tactics correct..Au ni juhudi za wachezaji?
Ole hana Credit kwenye hii mechi, wenye Credit ni wachezaji wenyewe na hasa Telles, Tuanzebe, bissaka, Fred na Tomy
 
Umemsahau Tuanzebe

He was exceptional.. Nadhani he could top the list
 
Ole nampa time naamini bado ana kazi kubwa ya kufanya..we are not there aisee,badobado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…