Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Halafu pia kuna ile beki kukamia mchezaji mmoja..hii pia inakuwa advantage kwa wachezaji wengine kutengeneza channel zao
 
Naona hapa tunacheza na terms

Nimeuliza Pogba huwa anacheza mbele ya mabeki (in more defending role) au huwa anachezeshwa nyuma ya washambuliaji (in more attacking role)

Mambo ya CAM CDM, are just tactical terms
Central midfielder hakai nyuma ya strikers, anayekaa nyuma ya ushambuliaji ni CAM
 
Kwa matokeo haya namuona Solskjaer akiendelea kuwa kocha wa utd milele..Huwa naumia sana nikiona watu wanamsema De Gea vibaya leo atleast ametuonyesha kwamba tunaweza kumtegemea..Bissaka leo amefanya kazi nzuri sana hawa wawili wananifanya nilale vzr ucku wa leo ila Martial duh!Ngoja nilale tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…