Kiuno kimevunjika kwa PSG, wanategemea mbio za Mbappe na Neymar, defensive imepwaya pia.
Utd wataponwza na kutegemea offside trick, DiMaria na Mbappe si watu wazuri.
Waki-press hard, goli zipo za kutosha ila mechi inaonesha kuwa na magoli mengi pia kwa timu zote.