Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu PTER hii battle ya kumtetea OGS umejitoa kweli kweli,ONE v ALL.
Katika hali ya kawaida alikotutoa ni mbali kwa kikosi kilichokuwa hali mbaya sana.

Last season niliamini Ole asingefika December kwa matokeo mabovu lakini alitoboa.

Kilichonipa matumaini ni namna alivyofanikiwa kuzifunga timu kubwa kubwa karibu zote isipokuwa Liverpool kwa kikosi dhaifu kama kile.

Tactically sioni kama Ole ana mapungufu but ana Laissez faire attitude ambayo imeathiri fighting spirit ya timu.
 
kwani kwa sasa ameonyesha dalili ya kubadilisha hiyo laissez faire attitude yake kama kweli ndio factor pekee inayotuangusha?
 
★Man Utd pursued Bale but the superstar made the right call, says Moyes


"I wanted Gareth Bale to be my first signing at Man Utd. But it was already down the road a bit with Real Madrid. I tried to hijack it.

"But he chose Real Madrid and he made a brilliant decision."

Vibarua vikiota Nyasi wanamaneno kama wavuvi wa Samaki waki Pemba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…