Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

VDB hapaswi kuanzia bench. Combination ya VDB, Bruno na Rashford ndiyo imeleta matunda. Ninazo heshima nyingi sana ka Mata. Japo hatakuwa man of the match. Maana Bruno na ubovu wake anachukua man of the match.
 
Hii timu sidhani kama nitafikisha miaka 30 nashabikia timu hii,Cavani baba ndio ujionee haya mambo haya, tumekuleta utusaidie kuyatatua haya yakusubiri paka dakika za majeruhi
 
Bruno na ubovu wake???
Bruno kacheza ovyo kipindi cha kwanza chote. Amebadilika baada ya Pogba na VDB kuingia. Ametoa pasi za ovyo kuliko mchezaji yeyote leo. Katika kipimo cha haki, AWB, Mata, Fred, Manguire, De gea wanacheza vizuri mbali kabisa na Bruno. Ila nimevote for Bruno maana ndiyo hivyo.
 
Siku ambayo Rashford anacheza hapo alipo simama siku hiyo timu lazima ipate goli na inatengeneza nafasi nyingi sana.
Tatizo anapokuwepo Martial na Rashford anaanzia pembeni kushoto. Aisee match huwa ngumu sana.
Screenshot_2020-10-18-00-15-29.jpg
 
Kwahiyo tungefungwa usingeenda?..wapagani bhana
Lazima ningeenda boss! Ila to be honest kuna kitu fulani ningekua nimepungukiwa mwilini.. Unajua tena mpira nao umaumiza sana, kuna muda unaweza kukuharibia furaha yako yote mfano ile siku tumekula goli 6, nilitamani kulia kifaransa bahati mbaya sikijui.

Hii timu itatuua kuna mdau huko juu kasema vizuri sana, kwamba kushinda kwetu mpaka mpinzani wetu awe ameamka vibaya
 
Back
Top Bottom