Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Goncalo Lopes | Bruno Fernandes has lost faith in Solskjær.★


#GGMU



manutd | View attachment 1600468
The reports of Bruno Fernandes and Ole Gunnar Solskjaer falling out are "absolutely not true".

There is no problem between Ole Gunnar Solskjaer and Bruno Fernandes and between Bruno Fernandes and Manchester United. [@podcastherewego; @FabrizioRomano]

🔴
 
Kwahiyo unawaomba mashabiki wa timu pinzani waache kuwashambulia wachezaji wenu?
 
★Hivi maana ya Lost faith ni nini??? Yani shid sio kwamba wana ugomvi mkuu★
 
★Sio Timu pinzani tu pia hata sisi tusiwashambulie sana.

Hence:MAGUIRE asiachwe mpaka avuliwe unahodha msiniangushe kwa hili
Kwahiyo unawaomba mashabiki wa timu pinzani waache kuwashambulia wachezaji wenu?
 
★Hivi maana ya Lost faith ni nini??? Yani shid sio kwamba wana ugomvi mkuu★
Sasa kupoteza imani si ndiyo tatizo tayari hilo. Mchezaji kukosa imani na kocha ni tatizo na ukikosa imani na mtu tayari mnakuwa na tofauti maana hamuaminiani.

Kwahiyo unataka kusema Fabrizio yeye alikuwa anatoa taarifa kwa ku-refer habari ipi?
 
★Sio Timu pinzani tu pia hata sisi tusiwashambulie sana.

Hence:MAGUIRE asiachwe mpaka avuliwe unahodha msiniangushe kwa hili
Ebwana poleni. Hapo bado kwa Cavani watu wameshikilia P kungoja a-underperform waanze kuimba
 
Sasa kupoteza imani si ndiyo tatizo tayari hilo. Mchezaji kukosa imani na kocha ni tatizo na ukikosa imani na mtu tayari mnakuwa na tofauti maana hamuaminiani.

Kwahiyo unataka kusema Fabrizio yeye alikuwa anatoa taarifa kwa ku-refer habari ipi?
Ni mapema kuclaim hivyo ila hata kama wana ugomvi haitakiwi utoke nje ya dressing room
 
Ni mapema kuclaim hivyo ila hata kama wana ugomvi haitakiwi utoke nje ya dressing room
Habari ilikuwa hivi;

“Fernandes opinion of Solskjaer is similar to that of other players in the team. He does not think he’s strong enough to manage the squad and does not have the capabilities to push the players forward in the direction they should go.” @DuncanCastles #MUFC

Inaonekana siyo ishu ya Bruno pekee, hii habari inaweza kuwa ya ukweli ila ili kulinda image ya club inabidi waikanushe.
 
Yea ulinzi wa image ni muhimu
 
Tukio la Greece kama hazitafanyika juhudi za makusudi litamaliza career yake kwa haraka sana.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
It'll be slowly but you will come to reality. Ha-underperform kwakua kuna tukio la Greece anaunderperform kwakua the guy is overrated.
 
Timu yetu haina utulivu kabisa..

Kuna kazi za ziada inabidi ifanywe ile tuweze japo kupata ushindi mfululizo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…