Members wengi IG wanasema kiwango anachoonyesha Pogba akiwa ufaransa ni ushahidi kwamba pale man u hakuna kocha wa kuweza kuutilise uwezo wake.
Hence narudia tena. Kwa fixture ya man u game wanayoweza kushinda ni Newcastle na ile nyingine jina limenitoka zilizobaki ushindi utategemea juhudi binafsi za wachezaji kuliko kocha.