Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Na wewe unafanyaje hapa? Yaani unaambiwa sory dada yako chizi na wewe utakubali tu et eee bila hata kupewa sababu za maana
Hakuna ulazima wa kupewa sababu inabidi uthibitishe mwenyewe kuwa dada yako ni chizi
 
Jibu swali kwanza

Nilikuuliza sababu za united kufanya vibaya wachezaj walioshinda msimu uliopita mech nyingi hawapo? Halafu unaniambua nijibu swali mantiki yangu timu iliyopo mwaka jana ikapiga wakubwa kibao hajaondoka hata mmoja kufungwa na spurs ndio uje na utabir wako hapa mbona kama unaleta utabir hewa? Kwa hiyo everton ndio bingwa wa Epl kwa kuwa hajapoteza mech?
 
Arsenal baada ya kushinda hizi mechi mbili wako kwenye furaha ya ajabu kama mtoto kala vitumbua


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hawa ni mashabiki wa timu ndogo ndogo hivyo wanakuja huku kutoa stress zao baada ya kutumikia vichapo kwa muda mrefu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app

Anakwambia tunajifariji tukisema sio kweli kwamba yeye ana maono na anajua balaa
anachoongea ndio kina ukweli ila sisi ni waongo msimu ulioisha Big Sam aladyace alitabiri united anashuka daraja lakini yule top 4 wao waliangalia mech 4 tu za mwanzo wakatoa maono kama ya jamaa kilichofuata anakijua
 
Eti Arsenal wanakuja kutoa ushauri kwenye jukwaa la United ? Hiki si kichekesho?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…