Maana yake ni kwamba EPL alionekana wa kawaida huko aliko anafunga,,huoni kama huko hakuna wachezaji bora kuliko EPL..Ndiyo uelewe sahihi heri huyo Chong ameshazoea mazingira epl kuliko hao watoto wadogo.
Tusitetee upuuzi huu usajili tuliofanya ni upuuzi hautatusaidia chochote.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Vipi kuhusu huyu Facudo Pelistri ?hii hela ni nyingi sana
tukiishiwa machaguo ni bora tumkabidhi timu scott parker🚶♂️🚶♂️🚶♂️Kwa makocha waliopo epl kwa sasa ni
1. Nuno Espirito Santo
2. Ralph Hassenhutl
Hawa wanafaa kuitumikia united wanaphilosophy inayoeleweka.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Tena wa kiwango kikubwa sana.basi tungelimsajili tokea mwezi September apate match fitness (huu ni ufala)
Huyu ambaye anachezea vipigo Fulham?tukiishiwa machaguo ni bora tumkabidhi timu scott parker
Mkuu hata huko alipo Suarez,,bado Diego simion alikuwa akimtaka cavani,,Achana na Uruguay ambapo kwa mwaka anaweza kucheza mara 5 tu, vipi pale Barca Suarez alikuwa anacheza namba ngapi?
Vipi pale Atletico sasa hivi anacheza namba ngapi
Mimi sina mashaka na uwezo wa Cavani uwanjani, nina mashaka makubwa na injury record yake
nafikiri ni paundi millioni 7
Chong alihitaji kujengewa confidence na physicality.Maana yake ni kwamba EPL alionekana wa kawaida huko aliko anafunga,,huoni kama huko hakuna wachezaji bora kuliko EPL..
Ndy maana kila siku mfalme ni mmoja tu bundersiliga tofauti na EPL..
hakuna anayechukizwa na usajili wa traore...Kama mm tu mkuu nimependa sana usajili wake
Sasa kwanini hatujawekeza kwenye senior team ?nafikiri ni paundi millioni 7
======
huko academy tumefanya uwekezaji mkubwa kuliko senior team
Hansen-Aarøen, Carreras, Jurado, Garnacho, McNeill, Pye, Hugill, Kambwala, Pellistri, Traore.
Mkuu Suarez hawezi kusajiliwa na Man U.Achana na Uruguay ambapo kwa mwaka anaweza kucheza mara 5 tu, vipi pale Barca Suarez alikuwa anacheza namba ngapi?
Vipi pale Atletico sasa hivi anacheza namba ngapi
Mimi sina mashaka na uwezo wa Cavani uwanjani, nina mashaka makubwa na injury record yake
maana yake Ole yupo kwa miaka 10 zaidi.Sasa kwanini hatujawekeza kwenye senior team ?
Tunawekeza huko lakini wakikua tunawatoa kwa mkopo.
Hii maana yake nini ?
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kwa nin kila mtu mwenye wasiwasi na Cavan unamuita shabiki wa Martial?Mashabiki wa martial ktk ubora wao..
kwamba alitakiwa asajiliwe Wigan Athletic ya Championship?ligi ya Italy siielewi
matteo darmian amesajiliwa na inter milan
Hii ni transfer window ambayo imenikatisha tamaa kuliko zote toka nimeanza kuishabikia united.maana yake Ole yupo kwa miaka 10 zaidi.
tunamjengea timu ya baadae
Mkuu hata huko alipo Suarez,,bado Diego simion alikuwa akimtaka cavani,,
Pamoja na kuwa na Suarez na Diego Costa..
Na elewa kuwa mchezaji kuchezeshwa namba husika haimfanyi kuwa ndy natural namba yake,,
Suarez ni natural 10 na anacheza akitokea kushoto kama martial..
Cavani ni natural center forward..
Cavani ni finisher,,tusibeze uwezo wake..
Cavani ni PSG top scorer of all times,,
Cavani ni top scorer world class...
Hajifunzi bali ana experience..
Martial hana sifa za centre forward.. Martial ni attacker,, left wing..
Labda huyo ole azinguwe..lakini kocha kama morinho ,,diego simion haumizi kichwa kumchaguwa cavani over martial..
tuchukulie martial hana adhabu ya red card..
kwa nini cavani?