Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata pogba asipocheza bado tm haionekani kuwa fit.
 
Hivi kweli kabisa, una Pogba, Fernandes, Bissaka, VDB, DJ, Greenwood, Rashford, De Gea na bado unaamini anayefanya msishinde ni Woodward kwa kutokumsajili Sancho! Kwa kutokumsajili Telles!

Huwa mnawaza kwa kutumia nini wazee??

Ile pale Arsenal mkiiweka individually na wachezaji wenu hao ni nani superior? Kati wanamweka Xhaka, Elneny na kina Niles na nyie kati tu mna Pogba, Fernandes na VDB, yet wamebeba trophies! Achilia mbali usajili wao wa kusuasua mara mia ya kwenu.

Na bado unakaa kuamini sababu ni Woodward hatoi pesa. Woodward aliyetoa kifusi kumnunua Maguire, Fernandes, na VDB. Au ni mpaka atoe pesa kila anapoombwa ndo walau mfike nusu fainali?

Yani kabisa unabeba kichwa kinachoamini Manchester hii ni mpaka imsajili Sancho, Haaland, Telles na wengineo ndo iweze kudominate ikicheza na timu kama Brighton na Crystal Palace achilia mbali kushinda! ... unabeba kichwa kinachoamini ni mpaka msajili heavily ndo muweze ku-throw off stiff competition!

Basi hiko sio kichwa bali kifuniko cha shingo.

.
 
Man u safiiiiiiii!!!
 
Unatumia mfumo usiokupa matokeo, hiyo ni akili?

Wewe umefaidika nini na mfumo wa Ole?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…