Manchester United (Red Devils) | Special Thread

daah we jamaa umeona mbali sanaa umeongea point wenye mapenzi na utd wanaelewa hili, tuache ushabiki ili kuficha makosa hata kama tunaipenda timu yetu tusifiche makosa,
Dj, bissaka viwango vyao vimedrop hata ukiangalia maguire pia kocha ameshindwa kuwajenga kisaikolojia hata kiufundi pia itafika wakati hata bruno tutamwona hafai hajui, Kocha kasajili Dj , ighalo lakini hawapati nafasi ya kujengwa kiakili sasa Dj auzwe. Tutazid kuona mafanikio ya wachezaji wetu wakiwa nje ya man utd ndo mana usajili unakua mgumu
 
Poa mtani. Tumepitia hayo maumivu for 30 years na tunayajua. Cha msingi mumvumilie tu OGS, sooner or later ataleta neema hapo OT

daaa mkuu bora nyie mlianza kuipenda liverpool kipindi makombe yamekata sasa sisi tulianza na raha ipo shida sana daaa
 
Duh ata sub yake inaonyesha ajui kufundisha na kusoma mchezo ana muacha Pogba na Bailey ana mtoa Matic na Bruno leo 1-8 zinahusu hapa
 
Tuwe wa kweli nyie mechi ya Crystal Palace na Brighton zote mlitakiwa mle tano,Sema Crystal hawakuwa makini,pili ya Brighton ile miamba ili wasaidia.

Leo hapa mpaka sasa mkono tayari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…