Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sawa mkuu..tupo pamoja,,kushabikia timu mbili inawezekana,,lakini isiwe sehemu moja,,au unawezaipenda Barcelona,,au madrid lakini huwezi penda zote kwa pamoja,,
Unaweza penda man u,,au Liverpool,, au Leeds lakini huwezi penda zote kwa pamoja..hapo ndy shida ilipoanzia..
Ila nimekuelewa mkuu..
Cavani kapiga hodi man u..atakutoa stress...usijali..
 
Nadhani kuna umuhimu wa kuwa wavumilivu.
Naona kama mambo yanajipa.
Wale wa kupiga gap pointi 40 sijui, wasahau hilo msimu huu.
#MUFC
 
Penison,

Ktk front 3 yetu kwangu mimi binafsi mchezaji mwenye akili timamu pale ni Mason Greenwood. Japo ni mdogo kiumri na ni hatari kumpa majukumu makubwa ila kawazidi sana Rashford na Martial almost kila kitu. Kitu pekee wanachomzidi ni umri tu.
 
Penison,

Ktk front 3 yetu kwangu mimi binafsi mchezaji mwenye akili timamu pale ni Mason Greenwood. Japo ni mdogo kiumri na ni hatari kumpa majukumu makubwa ila kawazidi sana Rashford na Martial almost kila kitu. Kitu pekee wanachomzidi ni umri tu.
Hakika mkuu..
Ndy maana nikasema martial atabadilishana na rashford.. Yule Dogo greenwood asisumbuliwe...wamwache atuletee starehe mashabiki wa man u
 
Cavani, hapa angalau zile cross hazitakua zinapita bila kutendewa haki
Huyo jamaa ni hatari sana mkuu,,mm nimemwangalia karibu mechi zake zote za leage one..France,,
Jamaa analijuwa sn goal,,
Tena ni mchezaji style ya Diego Costa,, au gabriel batistuta,,,,anakufunga kwa vyote,,miguu na vichwa..amefungia PSG magoli 200 ktk mechi 300 ...sio mtu wa mchezo mchezo...
Man u tunataka watu serious...hapo tunatakiwa tupate centre back na left back ya kuingiza ndani mfano wa evra..mengine tumuachie ole
 
Zinazowafanya muone man u haina natutal 9
Kwanza Man united haichezi mpira wa kupiga cross cause haina wingers na full backs wake siyo wapiga cross.

Pia Mwalimu ana prefer kucheza na kutengeneza magoli centrally.

Kwa vyovyote vile usajili wa Cavani hautakuwa na impact yoyote kwa sababu hatapata service sahihi from both flanks.



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…