Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Umeona enhe, Ole kiwango kidogo kwa United. Kwanza unawezaje mantain Martial uwanjani for 89 minutes? Mapema Rashid alipaswa kucheza central striking role, Debeek anatokea pembeni, life linaendelea. Hawa Wafaransa wetu ni mzigo. Natamani arudi Valensia.

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
★Bruno Fernandes' goal against Brighton (99:45) was the latest goal scored in the Premier League since Juan Mata for Chelsea against Norwich in 2011 (100:03)★

#GGMU


manutd |
 
★Gentlemen, start your engines


This title race is just getting started



Me Looking OLe at Back


#GGMU

@manutd
 
★Waiting for Manchester United to do something in the transfer window like...★

#GGMU


@manutd
 
Man u kufanya buildup hamuwez ,mkikutana na wahuni wanaokabia juu mtasumbuka sana

Nimekumbuka Lampard baada ya kuwapiga nusu alisema Amegundua udhaifu wenu, Hivo kovasic akawa nikupiga tackle tu, mipira mnapoteza kirahisi

Kila gem na plan yake alipata bahat ya kushinda sio kile mech united wataungia kama walivyocheza na chelsea
 
Ninyi munaweza kurudisha goli tatu kama Chelsea? Au ndo mpaka mpate penati


Angalia mlivyopigwa na crystal Palace, kwa sababu hamkupata penati ndo maana goli hazikurudi

Kwa zile hela mlizoweka mzee baba mnagombania drooo daaaa maisha yanaenda kasi sana
 
★una akili Zako timamu kwa usajili mlio fanya TIMO,ZIYECH,KAI,THIAGO na bado unakuja kujitapa kwa DRAW kina wewe kapimwe haupo vizuri

Huyo jamaa daa muonee huruma wamesajli nusu ya timu halafu wanafurahia suluhu
 
lvg na Mou wote walikuwa top coach, hakuna guarantee yoyote akiondoka ole na kuja kocha mkubwa kwamba atafaulu. so far ole kwangu yupo kwenye right path na ana support yangu, na nipo positive.

Mkuu kwa wachezaj tulionao wale wanatofaut gan na spurs ya pochetino toka 2016? Huu mwaka wa tatu wa ole hamna hata dalili ya top 4 kwamba tunaweza kuingia timu kama crystal palace ndio za kuchukua point kama unataka kufika juu sasa utachukua point kwa liverpool na manchester city?
 
Dalili mbaya hizo huwezi ku struggle kwa Brighton uje upate matokeo kwa Liverpool

Umeanza kuangalia mpira 2020/2021? Last season united kafungwa na liverool mech moja na arsenal mech moja zote kashinda halafu kapigwa na madogo na droo kibao za madogo nachoweza kukuambia mpira huwa na plan zake usitegemee plan ya brighton akaingia nayo kwa liverpool
 
League yenye team 20 giants sio wengi kuliko teams za average uki struggle huku kwenye points nyingi hata ukiwashinda ma giants haikusaidii
 
Spurs ya pochetino Imefanya Nini ambacho ole Hajafanya? Tusiwe wasahaulifu jamani mechi 1 au mbili zitusahaulishe mema yote.

Timu yetu ndio kwanza Imekutana, fitness level ni ndogo, ita improve kadri muda unavyozidi kwenda.
 
Nikuulize maswali sasa.
1. Toka Rashford azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha man utd sasa?
2. Toka Martial azaliwe Amewahi kuwa na kiwango kama Cha sasa?
3.toka Bruno Fernandez azaliwe amewahi kuwa na Kiwango kama cha sasa?
4. Toka Greenwood azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha sasa?

Unaweza nipa mifano ya wachezaji Ole ambao ameshindwa kuboresha viwango vyao?

Vipi kuhusu transfer zake so far zimefanikiwa kiasi Gani?
 
League yenye team 20 giants sio wengi kuliko teams za average uki struggle huku kwenye points nyingi hata ukiwashinda ma giants haikusaidii

Yes hilo natambua ila ninachoweza kusema toka awali mech ya jana haiwez kukupa picha kamili ya msimu mzima kitu ambacho kinaumiza hii timu ni mbinu za makocha/kocha pogba na bruno kucheza pamoja naona inakuwa ngumu sana bruno alicheza vizur sana pogba alipokuwa majeruhi aliporudi tukaanza kuhangaika ukiangalia mentality za wachezaj wa hii timu wanategemea jukum kubwa kufanywa na pogba kitu ambacho kinakuwa kigumu sana kwa sababu pogba toka atoke majeruh hajawa kwenye form viungo wa timu pinzan wanamkamata sana had anapoteza mipira hovyo palitakiwa kuwa na top players watatu wa nne wenye uwezo binafsi kama liverpool au city sasa united ukikamata pogba kwisha kazi liverpool ukidili na salah mane anakuumiza au firmino the same tu city tukipara front 3 ya maana hata pogba na bruno watakuwa sawa kila uchwao bruno kapiga kazi sana toka aje anachoka nae kwa sasa utatu wetu wa wale madogo unatupa shida sana ukiangalia hata mech tumefungwa na sevilla ilikuwa upande wetu angalia madogo walivyokosa magoli
Kwa hiyo mbele kuna takiwa watu makini na kocha kuangalia mbinu zake upya anapocheza na hizi timu za kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…