Umeona enhe, Ole kiwango kidogo kwa United. Kwanza unawezaje mantain Martial uwanjani for 89 minutes? Mapema Rashid alipaswa kucheza central striking role, Debeek anatokea pembeni, life linaendelea. Hawa Wafaransa wetu ni mzigo. Natamani arudi Valensia.Watu wanapiga kelele..ooh tunahitaji straika..straika kama lukaku kwa mpira ule goli zinatokea wapi,pogba hata chance moja hajacreate..timu haiwezi kupiga hata pass kumi kwenye half ya mpinzani..huu si utani?..Tengeneza kwanza system ya uchezaji
Yaani Ole kama hawezi kuimprove viwango vya hawa tulionao hata kuongeza wengine naona atashindwa kuwatumia tu
Timu inacheza kwa morali kwa kipindi fulani tu then kwisha habari..
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app