Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lingard ata shine pale tott unajua watu wengi hawajui kwamba utd ni team yny pressure kubwa mno, so average players huwa wanapata tabu sana ku shine hasa kutokana na aina ya makocha tulionao tng aondoke babu.
 
Kweli kabisa lkn pia hata Diego Simeone anafaa kuchukua hii kazi.
 
"In football you don't deserve, you win or you lose."

Hapa mtapiga kelele hata mpaka mwakani ila timu iliyokuwa fit, ikatumia mbinu zao vizuri na kupata matokeo ndiyo ilishinda.

Sio Manchester United wala Crystal Palace ilistahili kushinda, 'the game decides itself'

Leo tupo Kenilworth Road, naamini itafanyika rotation ili kujihakikishia mechi ijayo tunapata kikosi kizuri cha kupambania points 3 against Brighton katika ligi.
 
Mkuu nakuunga mkono kwenye hoja yako.
 
★M.E.N. | Teden Mengi is with the United squad travelling to Luton for tonight’s game★

#LUTMUN

manutd |
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…