Manchester United (Red Devils) | Special Thread

USIMFANANISHE KLOPP NA VITU VYA KIJINGA. KATIKA HIYO MISIMU MINNE ALIFIKA FAINALI UROPA, CARABAO NA UEFA. ole amefika wapi??? Tandale kwa Tumbo?
 
Hela mlizomnunua Harrima_Gwaya bora hata mngemnunua Kelvin Yondani tu
 
Aliyechukua point 3 kwa spurs ni Everton
 
baada ya miaka takribani 20, hatimaye nimeamua kuacha kuishabikia punda milia FC.
===================
nawakaribisha Arsenal, team ya kawaida yenye football structure inayoeleweka chini ya mwalimu mwenye muda mfupi tokea akabidhiwe timu.
===================
unafungwa na crystal palace waliokuja na mbinu zile zile walizokuja nazo msimu uliopita cha ajabu unamlaumu ed woodward kwa kushindwa kumsajili sancho na beki wa kati pamoja na hoja ya uchovu
==================
ukifungwa na bayern munich magoli matano huenda utamsingizia muweza wa yote kwa kushindwa kumleta messi, ronaldo, zidane, de lima kwenye viunga vya old trafford.
==================
nampenda sana ole ila bado anashindwa kunishawishi kimbinu, amekuwa ni mwalimu anayetegemea zaidi jinsi wanavyoamka wachezaji wake.
=================
tumepoteza vita ila bado mapambano yanaendelea
 
Ivi babu, Matic kwani mgonjwa?
Kama yuko fiti, basi Ole kachangia tufungwe.
Swala la usajili haliepukiki.
CB, CF & RW lasivyo tutaendelea kuumia.

Hivi njia gani itumike kumfukuza kazi Ed wood?
Huyu jamaa sina imani nae, haki ya mungu.

Hizi habari za kumuandama Ed pale Timu inapoboronga ndiyo zinazomfanya OLE awe comfortable hata Timu ikose matokeo.

Yani unajua OLE tokea apewe Timu ameshatumia kiasi gani kwa Wachezaji?
 
Asante hii timu akipewa mtu kama bielsa mtashangaa. Kocha wetu ni facken hana mbinu wala nini, timu inafungwa limekaa tuu limekunja 4.. Tupigwe hata game 4 mfululizo ndio akili zitakaa sawa..
Mlikuwa na LVG nyinyi mkamletea nyoko.

Binaadam bhana. Bielsa ni sawa na LVG tu
 
Mkuu wanawake ndiyo uwa wanasemaga man sisi ni mmbwa kwani na wewe ni Mwanamke Mkuu ?
Mkuu hawa ma fans wa arsenal sijui kimewapata, matusi mengi sana. Kila Muda akili zao zimezungukwa maneno machafu machafu, sasa wakija kwa staili hiyo na wewe nenda nao hivyo hivyo ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…