Cjaelewa hata unaongea nn we jamaa anyway ngj nkuache tu nisijichoshe.Na nyie wadau mnapuyanga sana! Hao waliokuwa level zetu walikuwa wanashinda makombe yote mfululizo kwenye michuano yote!? Hao level zetu hawakuwepo kwenye vichapo vya 6-1,3-1 n.k.?.
Na goal pa palace limetokea huuu upande![]()
Huyu jamaa mnamwonea sana wakuu. Kwa nini wanaopaswa kufunga wazifunge nao?Hapa kwa victor tukadai hela yetu tu, huyu maguire tumpeleke mkopo Luton


Too slow and very predictableSio i tatizo serious la Mensah. Timu inacheza too slow
James anacheza no7 ya kizamani mnoo.James na Mensah kulia ni majanga.....Lindelof atatugharim sana huu msimu
Upande wa kilia majanga James hana afanyaloChama langu tuna matatizo mengi sana...hatuwezi pata kombe lolote na CF ya Martial....Winga ya kulia specialist ni ya lazima...Beki ya kati Chafuchafu na roho mbaya ni ya lazima....Sitaki kusema mengi kuhusu Ole...Tunashindwaje kupenetrate mipira kwa team kama palace aise....So sad...ngoja nisubiri second half
Hv hapo kuna kosa la mensah kweli au kwa kuwa goli limepatikana upande wake?Mkuu hii timu tuijua vizuri huo upande ni utopolo wewe mwenyewe umeona cross inapigwa mensah hayupo haya kaenda kukaba lindelov naye anaangalia tuuu mpaka watu wanapiga cross hata kuweka mguu haweki.
Huyu alinunuliwa sababu ya mbio tu hana kipya cha kutuofa wana man uJames anacheza no7 ya kizamani mnoo.
Timu haichezi vizuri kwenye midfieldChama langu tuna matatizo mengi sana...hatuwezi pata kombe lolote na CF ya Martial....Winga ya kulia specialist ni ya lazima...Beki ya kati Chafuchafu na roho mbaya ni ya lazima....Sitaki kusema mengi kuhusu Ole...Tunashindwaje kupenetrate mipira kwa team kama palace aise....So sad...ngoja nisubiri second half
Mm leo tukipigwa itakuwa poa tu ili wasajiri c unajua man u ya cku hz mpk itiwe tiwe ndo inasajiri.Chama langu tuna matatizo mengi sana...hatuwezi pata kombe lolote na CF ya Martial....Winga ya kulia specialist ni ya lazima...Beki ya kati Chafuchafu na roho mbaya ni ya lazima....Sitaki kusema mengi kuhusu Ole...Tunashindwaje kupenetrate mipira kwa team kama palace aise....So sad...ngoja nisubiri second half
Pia huyu ni LW sio RWHuyu alinunuliwa sababu ya mbio tu hana kipya cha kutuofa wana man u