Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahahaa same team, same coach, same problems.. Matatizo yale yale timu inacheza slow hakuna lililobadilika, tutasajiri sana lakini bado Ole pia hatoshi hamna anachofundisha huo ndo ukweli.
Hata timu haieleweki inacheza mpira gani kitu ambacho hakihitaji World class prayers kuona aina ya mpira kocha anaofundisha.
Haya matatizo ya timu ndogo yanaendelea kututesa na hakuna kitu Ole ameimprove kwenye hilo tunapiga vipasi uchwara tu visivyo na maana.
 
Mkuu hii timu tuijua vizuri huo upande ni utopolo wewe mwenyewe umeona cross inapigwa mensah hayupo haya kaenda kukaba lindelov naye anaangalia tuuu mpaka watu wanapiga cross hata kuweka mguu haweki.
Tatizo kubwa la Lindelof, pamoja na kupewa muda ila jamaa hajiamini kwenye maamuzi....anatabia ya kusindikiza mtu hadi kwenye box, vidic hapo anakulaza mapema sana...ile header kampa De gea ya ajabu sana
 
Mtu Kama Daniel James Ni wa caliber ya kuichezea utd ?

Mensah ?
Lingard ?
Jones ?
Kuna majinga jinga mengi Sana pale !!!!

Time will tell !!!

This time hata big sex Ni ya kupigania Sana !!!

Everton msimu huu Yuko vizuri , Carlo amesajili vzr na wameingia vzr kwenye mfumo !

Wovls wapo
Leicester wapo !!!


Bado
Arsenal
Liverpool
Man City
Chelsea
!! Kaz ipo Sana iseee !!!!!
 
Haha
giphy.gif
 
Back
Top Bottom