Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi wachezaji hawawezi kuigomea jezi fulani ?au hata kupiga kura kuikataa
Japokuwa hiyo jezi bado sio official ila ni km dhihaka ya Adidas kwa wachezaji wetu
Unaweza hisi Mossad wapo kazini pale Adidas kuporomosha brand yetu pendwa
 
Oya kama unataka connection ya kazi ukae kimya humu, ikiwezekana utoke humu.
Ukiendelea na mdomo wako hupati kazi
Muambie huyo. Akili zenyewe za mpira zinamshinda, akipewa ajira ipi sasa ataiweza. Mitandao hii inareflect na kile unachoandika na ubongo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…