The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hahahaaa mkuu hili suala la kuzungukwa na nani huwa linaongelewa kwa most talented players ambao awali walisha proof ubora wao, ss ikiwa Martial anataka tuhoji kuwa kazungukwa na nani ilipaswa apambane kututhibitishia ubora wake, hata pogba huwa tunahoji kazungukwa na nani cz alisha proof ubora wake.Mnamlaumu Martial Je amezungukwa na kina nani? Au ndo hizo pasi uchwara za fred? Au mnataka akokote mpira kutoka goli moja hadi lingine.
Mpira ni combination,Kuna mdau aliongelea accuracy ya Martial hapo EPL.
Keshafeli huyo hana jipya.Sanchez ameanza kuongea shit kuhusu sisi
Anasema siku ya kwanza kwenye training alitamani awaambie familia yake wacancel deal arudi zake Arsenal..Sijui ni kitu gani kimepelekea yeye kusema haya au ni kipi kilimfanya aone ni bora kucancel the deal
Ni nadra ex wako kukusifia !!!!Sanchez ameanza kuongea shit kuhusu sisi
Anasema siku ya kwanza kwenye training alitamani aiambie familia yake wacancel deal arudi zake Arsenal..Sijui ni kitu gani kimepelekea yeye kusema haya au ni kipi kilimfanya aone ni bora kucancel the deal
Kleberson,Veron,Forlan,Anderson,Falcao,DiMaria na wengine toka South America walistruggle United licha ya kucheza vizuri timu nyingineSanchez ameanza kuongea shit kuhusu sisi
Anasema siku ya kwanza kwenye training alitamani aiambie familia yake wacancel deal arudi zake Arsenal..Sijui ni kitu gani kimepelekea yeye kusema haya au ni kipi kilimfanya aone ni bora kucancel the deal
Mkuu timu mbovu kuifunga timu nzuri sio kipimo cha ubora,,Psg na Juve tuliwafunga na kikosi kibovu kushinda hiki, na Ole siku zote anafanya vizuri akikutana na timu inayofunguka.
Pia washambuliaji wetu Rashford na Martial ni big game players, wanazifunga zaidi timu kubwa kuliko Ndogo.
Epl yenyewe Timu kubwa ikikutana na sisi inajiandaa kisaikolojia.
Kwa mtazamo wangu mm naona Thiago Alcantara hana tofauti na Matic. Kiukweli bado sijamkubaliNdo hapo ss, ebhn inasemekana Bayern na Man u wapo mezani kuhusu Alcantara, mwenye info atupe.
AnastahiliOur new no. 11View attachment 1558338
Hata km anafanana na Matic but ni classic player yule af km Ole atamchukua atakuwa ameenda na bits kweli kweli cz ndo ameanza kucheza ktk ubora wake now, ofcz tunahitaji kujaza classic players kwa inavyowezekana ili kuwa na kikosi kipana zaidi.Kwa mtazamo wangu mm naona Thiago Alcantara hana tofauti na Matic. Kiukweli bado sijamkubali
Kuna mwaka Ferguson aliwahi kufungwa na timu ambayo haimo epl yn ya mchangani kabisaMkuu timu mbovu kuifunga timu nzuri sio kipimo cha ubora,,
Ni sawa na shehe kuangukiwa na maiti wakati wa kuzika,,na shehe akafa..
Hyo natokea sn tu.
Man u bado sio nzr kwa ushindani wa EPL na UEFA...
Kwl kabisa mkuu,,tunatakiwa tusajili sio kujifariji..Kuna mwaka Ferguson aliwahi kufungwa na timu ambayo haimo epl yn ya mchangani kabisa
Mkuu The best 007 ,kwa usajili huu wa kulundika viungo unaona ole analenga uchezaji wa aina gani pale united? ukiachana na habari ya kikosi kipana,naona usajili wetu ni wa aina moja tu,viungo. Na je,ujio wa alcantara atakuwa bench player au starter?Hata km anafanana na Matic but ni classic player yule af km Ole atamchukua atakuwa ameenda na bits kweli kweli cz ndo ameanza kucheza ktk ubora wake now, ofcz tunahitaji kujaza classic players kwa inavyowezekana ili kuwa na kikosi kipana zaidi.
Yah ndiyo kitu napenda yn ionekane kwamba kupata namba utd basi we kweli mkali, mfano ujio wa Bruno umefanya wapuuzi km lingard kushindwa kucheza japo mazoeziniUjio wa Alcantara utafanya Mc tominay au Fred kupotea kabisa. Yawezakana nafasi kwao ikawa ni Emirates cup pekee
Lengo ni kuutawala mchezo tu hakuna jipya, hapo ukitawala mchezo, zen ukapata forward mfano wa Cavani heheheheheeee yn unamfunga mtu huku akiombea mechi iishe.Mkuu The best 007 ,kwa usajili huu wa kulundika viungo unaona ole analenga uchezaji wa aina gani pale united? ukiachana na habari ya kikosi kipana,naona usajili wetu ni wa aina moja tu,viungo. Na je,ujio wa alcantara atakuwa bench player au starter?
Unakumbuka Barca ya Mascherano, Busket, Xavi na Iniesta (Lengo la Ole km langu tu, ole anaamini ktk viungo km pep mm pia ni muumini wa viungo bora uwanjani unapokuwa na viungo bora mfano Bruno, pogba, VDB, Alcantara, Matic, Mc Tommy n.k hapo ukimkamata mtu unamfumua malinda mpk anaomba poo kudadadeki mana kila akianza anakaa na mpira sekunde 3 mnao nyie mnakaa nao dk5.
Man Utd ni club kubwa.Ndio hawa wachezaji tunawakumbatia tukijiongopea wako vzr mwisho wa siku tukikutana na wanaojua hata on target moja hawapigi.