Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hahaha sisi Man United recruitment ni kansa kubwa sana.

Imagine hatutaki hata kuangalia maeneo mengine ambayo yanahitaji reinforcrment tumekwamia kwenye dili la Sancho tu.
 
  • sevilla wameshika nafasi ya tatu kwenye la liga
  • sevilla wamefunga magoli 13 kwa njia ya set pieces
  • wameruhusu magoli 34 kwenye mechi 38 za la liga
tatizo lao kubwa lipo kwenye ufungaji na sababu kubwa ni aina ya midfield walionao (wanacheza 4-3-3) contributions yao ni ndogo sana eneo la ushambuliaji ila ni wazuri sana kwa kuharibu mipango ya adui wakiongozwa na ever banega.

Lopetegui ni mwalimu anayeamini sana possession (tunapaswa tujiandae na mapema yasije yakatukuta ya southampton), udhaifu wa midfields wao kwenye utengenezaji wa nafasi kunawalazimisha sevilla wategemee zaidi miujiza ya wachezaji wao wa pembeni (tukicheza walinzi wanne yule williams atakuwa na kazi ngumu sana ya kumzuia jesus navas).

pia washambuliaji wao si wazuri sana kwa kumiliki mipira hivyo basi tunapaswa kuutumia udhaifu huo pamoja na udhaifu wa midfield wao.
cha muhimu zaidi ni kujiamini na kumchunga zaidi ocampos​
 
Kwenye Midfield Suso na Banega ni wa kuchunga sana.

Kwenye aerial balls Ocampos, Luke De Jong na yule beki wao ni hatari sana.

Dead balls hasa faulo za kwenye final third Banega huwa anafunga sana.

But all in kwa Midfield yetu sitegemei kama watadominate ila kwenye pressing watatusumbua.
 
Hivi dirisha hili hii timu haina targets nyingine za kunasa tukiachana na RW ambaye dili bado ni gumu??

Tuna siku kama 28 tu ligi irejee
 
Wakati mwingine ogs abweke mashabiki wamsaidie kusukuma mambo yaende. Kila mtu anajua uzuri wa kuwahi kupata target za timu mapema na kinyume chake.
Timu kubwa kama hii hatujafanya sajili walau moja na kuna mapengo mengi tu na ya maana sana kuyaziba.
 
Ole amesharidhika ..hata saizi ananenepeana tu..yeye ndoto yake ilikua ni kuifundisha united tu
 
Tunawacheka Arsenal na Chelsea leo.

Kesho wakiwa juu yetu tutakosa la kusema.

Suala la usajili Man Utd ni kitendawili.

Labda tumeridhika na hali tulio nayo.
 
Ole kama hashinikizi timu kuongeza watu basi asubiri tu watu tuanze kushuka naye jumla jumla akianza kupokea vipigo...Watu tunataka msimu ujao tupambane hadi huko UEFA,sasa squad depth hii kumaliza top four tu utakuwa ni mtihani..Let's wait and see
 
Aende zake, na minywele kama msukule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…