Manchester United (Red Devils) | Special Thread

umeandika pumba hujui mpira + mahaba, unazungumzia mwalimu sahihi while Arteta miezi 7 tayari ana taji,wewe wako ana nini kwa muda wote au kufuzu Uefa?
 
Kombe la FA lilishakuwa kombe la Arsenal hivyo siyo suala la ajabu kutwaa.

Wigan alitwaa kombe hilo na akashuka daraja
Ungelitwaa na wewe sasa km una uwezo, si una wachezaji wa £100m
 
Kubali umekosea pumba ww..usitafute njia za kujustfy ujinga wako
 
Wakuu mmeona lineUo ya leo!? Twitter acc wameshaipost..kimsingi thats how it supposed to be.

Bruno na pogba waingie late sana wakafanye mambo
 
Aisee jamaa amecheza mechi nyingi sana, labda Ole anataka aweke stability halafu baadae hata second half ndio amtoe

Maana naona kabadili wachezaji wengi sana, hawezi kubadili timu nzimu
Huyu Maguire hapumzishwi jamani?..Angetuwekea Teden Mengi,aache uoga bhana
 
Oi..Mancity ameshamchukua NATHAN AKE huko..Sky sport wamepost sasahivi

Sisi man u ngoja tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka na kuvaa barakoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…