Eric Banks
Senior Member
- Jun 4, 2015
- 179
- 249
Carabao Cup msimu ujao haipo.Nadhani msimu ujao, Team A icheze UCL na EPL.
Team B icheze Carabao na FA.
Huo mkono vp tena au ndo keshajichora?
Hata mimi sielewi.....Huo mkono vp tena au ndo keshajichora?
Km kajichora basi atakuwa keshaanza kuharibiwa na kina Rashford na ataanza kuzingua huyu mtoto.Hata mimi sielewi.....
inaenda wapiCarabao Cup msimu ujao haipo.
Mkuu..mwaka wa kwanza atalipwa full..ila inayofuata atapunguza mshahara.Hapana , Sanchez hajakubali kupunguza mshahara ila hiyo wages Euro 7m alikuwa akilipwa every year nje ya mshahara. Yaani jamaa alikuwa mchezaji hewa ndani ya club. Kiukweli Mourinho alichokifanya yaani Mungu anamuona
Wachexaji wote wa academy 2anapouzwa huwa kuna kipengele kama hiki kinawekwa...Jamaa wamepiga pesa ndefu sana,
Hivi Man City waliweka mipengele cha kupiga pesa kupitia huyu mchezaji?
Napata wasiwasi wa uwezo wako wa kuchambua mambo mkuu..kaangalie hilo neno lilivyotumika kwny hiyo sentensi.Yaani kabisa unasema thanks Corona virus?Kwasababu tu ya hao mabeberu? Watu tumepoteza ndugu, jamaa na marafiki kwa hili gonjwa alafu wewe unashukuru uwepo wake.... Dah
Hivi mnafikiriaga kwa kutumia nini?
Ungekuwa karibu hata kofi ningekutandika.
Kaka..huyu jamaa haelewi muache tu..utapoteza nguvu zako bure.Bado kuna robo fainali,nusu fainali na fainali..Pogba atacheza
Hakuna haja ya kumtumia wakati hata tukimpanga Mata bado uwezo wa kuwatoa LASK upo..
Na tukumbuke ligi inarudi 12 september
Hata mimi nimemshangaa sana.Napata wasiwasi wa uwezo wako wa kuchambua mambo mkuu..kaangalie hilo neno lilivyotumika kwny hiyo sentensi.
Huyo kazi yake ni ku-troll tu..hajui ht anachokifanya.Hata mimi nimemshangaa sana.
Kuna picha alipost juzi kwenye IG inaonyesha akiwa kwa tattoo artist..maybe kajichora tayariHuo mkono vp tena au ndo keshajichora?
Safi Sana mkuu inabidi wadau wa jukwaa tukupe tunzoKwa mara ya kwanza nakaribia kumaliza kuangalia mechi zote za msimu bila kumiss hata moja kwenye mashindano yote..yaani complete dakika 90
Kuna wenzangu mmefanikiwa hili?
Nilimiss;Kwa mara ya kwanza nakaribia kumaliza kuangalia mechi zote za msimu bila kumiss hata moja kwenye mashindano yote..yaani complete dakika 90
Kuna wenzangu mmefanikiwa hili?
Tunaenda kumkosa huyo.Kuna picha alipost juzi kwenye IG inaonyesha akiwa kwa tattoo artist..maybe kajichora tayari
Big up..sio mbayaNilimiss;
Europa; vs Lask
FA nusu fainali vs Chelsea
Carabao cup vs Rochester
Lakini mechi za ligi nimeangalia zote
Huna haja ya kuwa na wasiwasi huyu corona ameshanipotezea ndugu mimiNapata wasiwasi wa uwezo wako wa kuchambua mambo mkuu..kaangalie hilo neno lilivyotumika kwny hiyo sentensi.
Alafu haka kaugonjwa kakuwaona wenzio hawajielewi, hawajui lolote unako sana,Huyo kazi yake ni ku-troll tu..hajui ht anachokifanya.