Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole kesho awaache First eleven nyumbani kabisa..Something like this itakuwa sio mbaya,

Romero

Laird Bailly Mengi Mensah

Scot Fred Garner

Jesse Ighalo James
 
Yaani ndani yupo Scot,Fred,James,Ighalo,Lingard,Bailly,Fosu Mensah na bado ufungwe 6 na LASK?..huu utakuwa ni zaidi ya utani

Kwahiyo wewe kesho ungepangaje?
1.Romero
2.dalot 4. Bailly 5.lindelof 3.william

6.Fred 8.scot

7.pereira. 10.pogba 11.james

9.ighalo
 
1.Romero
2.dalot 4. Bailly 5.lindelof 3.william

6.Fred 8.scot

7.pereira. 10.pogba 11.james

9.ighalo
Hadi Pogba?,akipata injury kwenye hizi mechi uchwara tuanze tena kulialia..

Sawa mkuu,ngoja tuone kesho hiyo
 
Nahisi BRUNO(goal 6) na GREENWOOD(goal 5) wanaweza kucheza kesho ili Mmoja wao awe mfungaji bora wa michuano.. Cuz anayeongoza ana goli 6 pia.
 
Hakuna kupumzisha game bado haijaisha
Pogba hatacheza hata akicheza hatacheza dkk 90 lazima apumzishwe kwa ajili ya msimu ujao..hii game tumeshashinda goli 5 haina haja ya kurisk wachezaji wetu muhimu

Msimu ujao wa EPL unaanza ndani ya wiki nane zijazo..na kuna uwezekano wa sisi kufika moaka fainali na pia kucheza UEFA SUPER CUP!! we need our players to rest to avoid unnecessary injuries
 
Kwenye EPL ukiondoa Fernandinho na Fabinho nani anaweza kumfikia Matic na Scot ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…