Jezi za Madrid ni nzuri hatari.nilichojifunza:
man utd tumekuwa na desturi ya kujitofautisha na team nyenginezo kwenye ishu ya designing ya jersey.....
angalia jersey za real madrid na AC milan (miaka yote zinakuwa na mfanano fulani) na wote wapo chini ya adidas kama sisi.
lakini ukija kwetu ni uhuni mtupu, material yanayotumika yanaweza kuwa ni ya kisasa lakini muonekano wa jezi mbele ya hadhira ukawa unatia shaka.
designer wa jezi ni kampuni au timu husika?
Hiyo ya Man city away kit hebu iweke hapa tuoneIla nisiwe mnafiki..UZI WA AWAY WA MAN CITY ni motoooooo!!!! Ile jersey ni balaa aisee
Afanikishe dili huyu mwamba aondoke ametupiga sana aisee.wasemavyo wenyewe:
Letting Sanchez leave for free and saving 60M on two years salary is just great business
=========================
don woodward amecheza kama pele, au amezingua?
View attachment 1526630
Kutengeneza tatizo halafu unalitatuawasemavyo wenyewe:
Letting Sanchez leave for free and saving 60M on two years salary is just great business
=========================
don woodward amecheza kama pele, au amezingua?
View attachment 1526630
Hamna beki hapo kwa mfumo wa Solkjaer wakutumia centerbacks kwenye build up hatakuwa useful sana.
Wachezaji wengi wa south America ni kubahatisha sana kwenye epl wengi huwa wanachukua muda mrefu sana kuadopt na list ya flops ni ndefu kuliko waliofanikiwa.
Pau Torres ni beki mzuri sana japo height na positioning yake ni nzuri sana pace na tactical quality yuko vizuri huyu Magalhe anafanya tackle nyingi sana that means positioning yake na kusoma mchezo ni faulty.
Arsenal wameshatoka kwenye level ya timu kubwa huenda hata kuvutia vipaji vikubwa duniani imeanza kupotea tofauti na miaka ile .Wazee wa free agents, sasa hivi wanamvizia Willian
Huyo Partey wamekwamia kwenye €25M
Unawezaje kuwa competitive kupitia free agents
Unawezaje ku compete na timu inayonunua winger kwa £80+ M na wewe unapata winger kwa £0 halafu utegemee kupambana naye
wasemavyo wenyewe:
Letting Sanchez leave for free and saving 60M on two years salary is just great business
=========================
don woodward amecheza kama pele, au amezingua?
View attachment 1526630
Wanapenda sana vitu rahisi hawa jamaa, kwangu mimi walianza kuwa timu ndogo walipoanza kumnunua Silvestre kutoka United kwa £300,000 (laki 3Arsenal wameshatoka kwenye level ya timu kubwa huenda hata kuvutia vipaji vikubwa duniani imeanza kupotea tofauti na miaka ile .
Hahaha nilimwambia Dully Jr msimu waliomuuza Song, Fabrigas na RVP waliondoka rasmi kwenye top level.Wanapenda sana vitu rahisi hawa jamaa, kwangu mimi walianza kuwa timu ndogo walipoanza kumnunua Silvestre kutoka United kwa £300,000 (laki 3)
Wakauza RVP kwa timu ambayo mna compete naye kwenye ubingwa
Wakauza akina Song, Cesc n.k.
Hizo biashara huwa wanafanya timu ndogo kama Everton, Westham na Watford
Miaka ya hivi karibuni, wamekuwa wakivizia free agents tu
Kolasinic
Lichtstaner
Now Willian
Nakubaliana kwamba gunners amekuwa timu ya kawaida sana a.k.a timu ndogo
Hahaha nilimwambia Dully Jr msimu waliomuuza Song, Fabrigas na RVP waliondoka rasmi kwenye top level.
Kuna msimu Man city alinunua wachezaji watano wa Arsenal na hii ndiyo ilikuwa ticket ya kumkabidhi rasmi Man city nafasi yao ya kuwa timu kubwa.
Na itawachukua muda mrefu sana kuregain hadhi yao na timu kubwa sasa hivi zimeongezeka mbili zaidi hivyo wao wataendelea kuwa mid level kwa misimu kadhaa ijayo.Kabisa hutakiwi kumuuzia kifaa your direct rival (unless you consider him not your direct rival)
Alexis Sanchez has agreed to rip up his £560,000-a-week Manchester United contract for a pay-off to join Inter Milan. (Daily Telegraph)Afanikishe dili huyu mwamba aondoke ametupiga sana aisee.
Huyu mwamba aondoke tu hatuna kazi naye tena.Alexis Sanchez has agreed to rip up his £560,000-a-week Manchester United contract for a pay-off to join Inter Milan. (Daily Telegraph)
At the end, msimu umeisha kila mtu aoneshe alichopataWazee wa free agents, sasa hivi wanamvizia Willian
Huyo Partey wamekwamia kwenye €25M
Unawezaje kuwa competitive kupitia free agents
Unawezaje ku compete na timu inayonunua winger kwa £80+ M na wewe unapata winger kwa £0 halafu utegemee kupambana naye
Arsenal wameshatoka kwenye level ya timu kubwa huenda hata kuvutia vipaji vikubwa duniani imeanza kupotea tofauti na miaka ile .