Ninachoona jezi ya Arsenal ni kali kutokana na rangi zake, nyekundu na nyeupe ni combo moja ya hatari sana. Hii jezi yetu full red na vi-stripe vyeupe vya adidas havina mvuto.
Hiyo jezi hapo chini ni kali kutokana na mchanganyo wake wa rangi. Designer wa adidas anapofeli ni kukosea hadi away na 3rd kits.
View attachment 1526144