Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kwani akifanya ubunifu km huu tutamgomea
Siamini km tatizo ni rangi yetu.....Kuna kipindi tushawahi valishwa jezi za Nike zenye alama ya V nyeusi kifuani
Mi naona Adidas ni poor in designing
Kawaida jezi yetu inatKiw nyekundu ndio rangi kuu ila nyeupe na nyeusi zinahusika
 
Arsenal walishazoea Mateso na kusajili flops halafu Arsenal imeshaondoka tena kwenye hadhi ya team kubwa hivyo hasara mapungufu yoyote ya kiuongozi hayapewi uzito kama yanavyopewa kwa united.
Povu
 
Kwahiyo United hii ipo katika level ile ya mwanzo?wewe unaijua United kweli?
Shabiki wa Manyumbu anayeicheka Arsenal ni mpumbavu tu pekee,
Maana katika timu zilizoporomoka na nyumbu ni included labda kama umeanza kushabikia nyumbu juzi walivyobeba kombe la top3....
Hii Nyumbu ambayo Old Trafford watoto wadogo wamepageuza pa kujiokotea point

Hapatishi tena kama enzi za SAF na wewe unaicheka Arsenal....

Hivi ni vituko
 
Jipeni moyo

Nyumbu mshapoteana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…