Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Wahenga tukisema huwa yanatimia sasa hawakutuelewa mwanzo na kutubishia wakati huo onyo na mapendekezo tulitoa mwanzo kabisa kuwa kati yao ChelSix na Leicester city wachague nani Anaachia hiyo Top 3
lakini Huyu kisirani Chelsix akajifanya kisirani haya bhana acha tuone
 
Itapendeza.
 
Icho kipigo tunakirudisha ngao ya jamii
Nyumbu kama Nyumbu mnajadiri utopolo
Ndoto za mchana huwa inanoga kuliko ya usiku
 
Aah safi tu mbona
 
★Manchester United kwa upande wangu naonaga hawapo serious kwa kweli maana msimu ukianza team ikicheza hovyo wanasingizia hatujafanya usajiri,oh mala injuries afu dirisha la usajiri likifunguliwa wanazuga zuga kufuatilia mtu mmoja muda unaisha inapita hiyo,sasa hivi wana mtaka Kingsley Coman kwa mkopo kama wameaminia yuko poa watoe mkwanja wote wanakera hawa jamaa basi tu
Wawekeze kwa wachezaji wa Maana sio hawa wakukopa kopa japo jamaa yuko Fit sidharau ila we have to do something bana hii hari wataimaliza lini daah★
 
★Manchester United are considering a move for PSG midfielder Idrissa Gueye, according to Le10Sport


#GGMU
 
Ole amwambie Ed woodward kuwa hii timu bado..watoe hela tuingie sokoni kuleta vifaa..tofauti na hapo msimu ujao ni mambo yaleyale ya kuanza kupambana na wachovu Arsenal kucheza UCL wakati tukiongeza watu wachache tu na kocha akiimprove mbinu zake basi hatutakamatika..RB,LB,RW,CB na striker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…