Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Yaani leo Nzi, BJ, Belo Manda et al wamepotea kabisa au ndio wameanza kuwatosa mashoga? Hivi Giggs na uzee wote ule anataka kucheza na shillingi chooni? Mfarisayo rudi bana .. ...... ..... .. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee huyo Judas anawatoa ..... .... .... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee Lete matokeo Mfarisayo ingawaje ni goli la mkono kubebwa kama kawa ... .... ....
Leo kidogo umeongea point SAF amechemsha sana kumchezesha GIGGS tena dakika 90,JUDA atakuja kukubaka pale Imirati
 
Man Utd ni timu ndogo tu siku hizi. Wakikutana na timu kubwa kama Madrid, Man City ni kipigo tu nyumbani kwao. Wakikutana na Chelsea away wanapigwa!

Sasa sijui kwanini huyu Robin Van P haisaidii hii timu wanapokutana na TIMU KUBWA
 
Man Utd ni timu ndogo tu siku hizi. Wakikutana na timu kubwa kama Madrid, Man City ni kipigo tu nyumbani kwao. Wakikutana na Chelsea away wanapigwa!

Sasa sijui kwanini huyu Robin Van P haisaidii hii timu wanapokutana na TIMU KUBWA

labda uongee wewe tu hapo..
 

Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Humu ndani mna utani wa jadi sana, haya jamani kwa niaba ya wote tuliopata updates moja kwa moja kwa namna yeyote ile napenda kuwapongeza timu ya Muncin kwa kujipatia ushindi na kujichotea pointi 3 muhimu, vilevile napenda kuwapa pole timu ya Fergason kwa kukubali kukalishwa nyumbani kwake.
 
Hivi Chicha ---- amegusa mpira tangu aingie? Chezea Sergio Kun Agueroooooooooooooooooooooooo
 
Man Utd ni timu ndogo tu siku hizi. Wakikutana na timu kubwa kama Madrid, Man City ni kipigo tu nyumbani kwao. Wakikutana na Chelsea away wanapigwa!

Sasa sijui kwanini huyu Robin Van P haisaidii hii timu wanapokutana na TIMU KUBWA
Mancity ni timu kubwa kwenu Arse8, ndo maana wako juu yenu.Huyu RVP amekuja ManU kuchukua kombe na msaada alioutoa mpaka sasa ni mkubwa sana
 

Back to back defeat ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Wewe tunakuja kukubaka hapo Emirates.

Halafu itakuwa tamu sana kama mkitupigia makofi ya guard of honour.
 
Man Utd ni timu ndogo tu siku hizi. Wakikutana na timu kubwa kama Madrid, Man City ni kipigo tu nyumbani kwao. Wakikutana na Chelsea away wanapigwa!

Sasa sijui kwanini huyu Robin Van P haisaidii hii timu wanapokutana na TIMU KUBWA

Wewe na mwenzio Wacha1 na Wacha makelele hata msiongee lolote.

Nyiye levo yenu ni ya kugombea kikombe cha nafasi ya nne.

Mtabaki kuwashangilia wenzenu mpaka udongoni!!!
 
Last edited by a moderator:
vilevile napenda kuwapa pole timu ya Fergason kwa kukubali kukalishwa nyumbani kwake.

Vilevile husisahau kuja kutoa pongezi pale United itakapotwaa ubingwa wa 20, wewe na mwenzako Mbata
 
Last edited by a moderator:
Vilevile husisahau kuja kutoa pongezi pale United itakapotwaa ubingwa wa 20, wewe na mwenzako Mbata

Heshima yako ndugu Nzi,

kiukweli nakubaliana kwa 100% na mchango wako hapo juu ila kuna kitu kimoja hujajua kuhusu mimi na naomba nikuweke wazi ili siku nyingine usijeshangaa kwa michango yangu mingine.

Ukweli ni kwamba mimi si mshabiki wa club yoyote ktk EPL, ninachokifanya ni kuangalia au kusikiliza mpira kwa sababu napenda mchezo wa mpira ila si mpenzi wa timu husika, yaani mpira kwangu ni burudani tu.

Kwa maelezo hayo ndo maana leo nimewapongeza city ila kweli niko tayari na nitawapongeza pia united kwa kubeba ndoo. Usijali sana ni hayo tu labda kama kuna mahala nimeongeza utata utaniuliza.
 
Last edited by a moderator:
Heshima yako ndugu Nzi,

kiukweli nakubaliana kwa 100% na mchango wako hapo juu ila kuna kitu kimoja hujajua kuhusu mimi na naomba nikuweke wazi ili siku nyingine usijeshangaa kwa michango yangu mingine.

Blah blah!

Ukweli ni kwamba mimi si mshabiki wa club yoyote ktk EPL, ninachokifanya ni kuangalia au kusikiliza mpira kwa sababu napenda mchezo wa mpira ila si mpenzi wa timu husika, yaani mpira kwangu ni burudani tu.

Kwa hiyo wewe kazi yako ni kupongeza timu yoyote inayoshinda? Fungua threads kwa ajili ya Stoke City, QPR, Soton, Wigan, Swansea n.k. ili zikishinda upate mahala pa kutoa pongezi zako.

Burudani my foot!

Kwa maelezo hayo ndo maana leo nimewapongeza city ila kweli niko tayari na nitawapongeza pia united kwa kubeba ndoo. Usijali sana ni hayo tu labda kama kuna mahala nimeongeza utata utaniuliza.

Pongezi yako itapokelewa hata kama ya kinafiki.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom