Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nawakumbusha tu, mko nafasi moja tu toka nafasi yenu pendwa!
 
Kocha kazngua kufanya sub ya pogba coz 3rd possession ya magol ya man u imetokea kwake ndye m2 mwny uwezo wa kupga long ball kwa rashford na kina martial kwenye counter kumfanyia sub n makosa hata kama alifanya kosa tukafungwa gol kwa kwanza pili OGS amefail kucheza watu 10 wakat unajua unahitaj point 3 muhm hili ndo kosa kubwa kuliko hlo la kwnza pumbavu kabsa OGS kwa kuniharbia usingz wang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…