hizo za mustafi & co zitakuwa ni computer generated statistical analysis mkuu.Kuna wakati takwimu zinadanganya sana mkuu
Tumeona juzi hapa kuna mtu kaleta takwimu, Jones wa Liverpool ni mzuri kuliko Pogba (eti kisa ana goli 1 na Pogba hakuwa na goli)
Takwimu zinaweza kukufanya umkubali sana Mustafi, juzi nimeona kwenye Uzi wa Arsenal Mustafi ana very impressive stats, tena ulaya, lakini wote tunaujua uwezo wa Mustafi
Sizipuuzi stats moja kwa moja, lakini tunapaswa kuzisoma na kuzitumia very cautiously
Hao takataka nawatabiria game zao alafu zawa kweli ..teh teh
wewe bwana Gpili wapinzani wana hasira dhidi yako, hili vurugu ulilowafanyia ndani ya wiki hii wanatamani walipize lakini hawatofanikiwa kwa uwezo wa maulana


Mwenyewe roho inadunda sana. Lakini tutashinda leo, ni lazima tushindeRoho inanidunda mapema dah Let's Go Reds
jittersDah km nnakatension flani ivi..
GGMU...
Acha tuu hii gemu ianzeMwenyewe roho inadunda sana. Lakini tutashinda leo, ni lazima tushinde
sio lazima mkuu. kila timu ina probability ya 0.5 kushinda,kufungwa au kudroo.Mwenyewe roho inadunda sana. Lakini tutashinda leo, ni lazima tushinde
Lingard mbona sub hayumo mhh!
Anapiga nyungu kwaoLingard mbona sub hayumo mhh!
atakuwa shop kwake.Lingard mbona sub hayumo mhh!
man talks to man, nyumbu talks to nyumbu...Nyie takataka aka nyumbu FC huyu Dean Henderson tuwape bei gani?
mi sikua na hofu kabisa na hii mechi hasa kwa kuzingatia matokeo mazuri ya OT hivi karibuni na msimu huu kiujumla ,lakini nimeangalia mfumo wanaotumia wapinzani 4-4-2 nimejikuta napata hofu maana ni mfumo mgumu sana kupitika kama watakaba kiroho mbaya,rejea mechi ya UCL kule France tulimtoa PSG kwa mfumo huu waliambulia goli moja tu pale kwao.Ila naimani na timu yangu itapata matokeo leo "GGMU"Tension ya hii mechi kama fainali ya UEFA aisee..sikujua kama muda ukikaribia roho itakuwa juu kiasi hiki
Anyway..GGMU
Best optionsBavaria,
Una mtizamo sawa na mimi. Vipaji vya kiingereza huwa sina imani navyo kabisa, hawa mimi ktk recruitment model yetu ninge-wawekea red flag unless wawe highly recommended na technical team ndo nawasajili. Nje ya hapo ningekuwa nawapandisha kupitia academy system kama Mason Greenwood na Marcus Rashford.
Tunapaswa tutafute vipaji nje ya hawa waingereza kama tulivyofanya kwa Bruno. Binafsi naona waingereza wanakuzwa mno kuliko thamani yao na uwezo wao halisi pia. Mfano halisi ni huyu huyu Jack Grealish ana thamani kubwa kuliko hata Bruno Fernandes,
Comparisons;
Jina Grealish Bruno Umri 24 25 Nafasi Kiungo Mshambuliaji Kiungo Mshambuliaji Msimu huu Mechi 33 Magoli 7 Assists 6 Mechi 10 Magoli 7 Assists 6
Mchezaji bora wa mwezi (Feb, June)Tuzo 0 Mchezaji bora ligi kuu ya Ureno(2018,2019)
Mchezaji bora wa Ureno, 2019Timu ya taifa Hajawahi kucheza Mechi 19 Goli 2
Sasa jiulize inakuwaje mchezaji mwenye uwezo mdogo kama Grealish kumlinganisha na Bruno, thamani yake iwe Pound 80M na Bruno Pound 67M? Nimeona watu wanasema ni backup ya Bruno, C'mon buddies! Kwa maamuzi haya sioni busara ya matumizi ya pesa. Huwezi kununua mchezaji wa backup kwa pesa nyingi kuliko mchezaji wa kikosi cha kwanza. Hii Pound 80M ni kheri tuwape scouts wetu assignment watuletee kipaji kinachoendana na hiyo thamani.
Kama Bruno tumempata kwa Pound 67M, vipi kuhusu Pound 80M (Aston Villa wanayotaka tuwape)? Hii assignment wanapaswa kupewa hao hao scouts walio-file report Bruno watuletee mtu mwenye thamani halisi ya P80M. Hata Jadon Sancho Burussia wame-inflate thamani yake halisi. Hata James Maddison same WhatsApp group, they are all inflated.
link