Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Back up ya Pogba na Bruno ni tatu tu.

1 James Madisson
2 Donny von de Beek
3 Dominick Szoboszlai

Kwanza ni vijana wachanga na ni versatile players huyu Grealish sometimes anajikaba mwenyewe tu.

Japokuwa msimu huu katengeneza chances za kufunga 80 lakini his tactical quality ina walakini kidogo.

Hao niliowataja ni perfect upgrade ya kina Lingard, Pereira na Juan Mata ambaye umri umeenda sana.

Japo possible signing anaweza kuwa huyo Grealish kwa sababu ya kuwa cheap kuliko Madisson na media hype zinavyompandisha.
We need talents. Sio wachezaji wanaouzwa kwa hypes za media za waingereza kama kina Lingard.
 
Vipi mkuu nirushie hata vocha ya 250
★Kuna jamaa mmoja wa Chelshit kaja kibanda umiza anatamba ety anatoa dau la100k kwa 10k kama Manchester United Itatoka inaongoza kipindi chakwanza Naona kabisa hii 100k nishaanza kuipa Ma budget Naongezea Nichukue Jersey Mpya Ya Red Devil's Kwa ajiri ya tarehe 18/07/2020 na Chelshit raha hizi★
 
Kuna ugeni mzito leo
IMG_3048.jpg
 
Tunavyosema tunahitaji world class Midfield mwingine na RW(SANCHO) tunamaanisha kwny situations kama hizi
Ambapo kikosi cha kwanza kikionekana kulegalega tunaingiza wachezaji ambao wanawasha moto..

Mf leo pogba hayupo kwny kiwango kizuri..so inapasa nje anakuwepo kiungo mwingine matata ambaye anaweza kuziba gap la pogba..

Narudia; ili kushinda mataji tunahitaji kikosi kipana na chenye QUALITY..we need more players

Hii game tunashinda tho..GGMU GGMU
 
Bavaria,

Una mtizamo sawa na mimi. Vipaji vya kiingereza huwa sina imani navyo kabisa, hawa mimi ktk recruitment model yetu ninge-wawekea red flag unless wawe highly recommended na technical team ndo nawasajili. Nje ya hapo ningekuwa nawapandisha kupitia academy system kama Mason Greenwood na Marcus Rashford.

Tunapaswa tutafute vipaji nje ya hawa waingereza kama tulivyofanya kwa Bruno. Binafsi naona waingereza wanakuzwa mno kuliko thamani yao na uwezo wao halisi pia. Mfano halisi ni huyu huyu Jack Grealish ana thamani kubwa kuliko hata Bruno Fernandes,

Comparisons;
JinaGrealishBruno
Umri2425
NafasiKiungo MshambuliajiKiungo Mshambuliaji
Msimu huuMechi 33 Magoli 7 Assists 6Mechi 10 Magoli 7 Assists 6
Mchezaji bora wa mwezi (Feb, June)
Tuzo0Mchezaji bora ligi kuu ya Ureno(2018,2019)
Mchezaji bora wa Ureno, 2019
Timu ya taifaHajawahi kuchezaMechi 19 Goli 2

Sasa jiulize inakuwaje mchezaji mwenye uwezo mdogo kama Grealish kumlinganisha na Bruno, thamani yake iwe Pound 80M na Bruno Pound 67M? Nimeona watu wanasema ni backup ya Bruno, C'mon buddies! Kwa maamuzi haya sioni busara ya matumizi ya pesa. Huwezi kununua mchezaji wa backup kwa pesa nyingi kuliko mchezaji wa kikosi cha kwanza. Hii Pound 80M ni kheri tuwape scouts wetu assignment watuletee kipaji kinachoendana na hiyo thamani.

Kama Bruno tumempata kwa Pound 67M, vipi kuhusu Pound 80M (Aston Villa wanayotaka tuwape)? Hii assignment wanapaswa kupewa hao hao scouts walio-file report Bruno watuletee mtu mwenye thamani halisi ya P80M. Hata Jadon Sancho Burussia wame-inflate thamani yake halisi. Hata James Maddison same WhatsApp group, they are all inflated.
Unauziwa beki wa kawaida kama Maguire kwa £80M. Unaambiwa Sancho anagharimu £130M.

Naamini ligi kama za Ureno, Ubelgiji, Serbia zina vipaji vizuri sana.

Uingereza yenye vipaji imeshapita enzi za kina Rooney. Wa sasa ni wa kuungaunga tu.
 
Back
Top Bottom