Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hivi hiki kikundi cha wahuni mpaka sasa mkonafasi yangapi kwenye msimamo wa EPL coz mnatusumbua sana kwa kelelezenu.
 
Sishangai penalty mliopewa tonight Referee JOHN MOSS anajulikana ni shabiki galagala wa Manchester United is.
Tumewazoea wapinzani wa man U yn tm ikifanya vby mnaanza kuipa majina ya ajabu mara mwanitesa utd mara genge la wahuni n.k, lkn ikifanya vzr execuses kibao kwamba tm inabebwa, kwahyo huko nyuma wkt ligi inaanza hatukubebwa ili tuchukue ubingwa ndo tunakuja kubebwa leo tukiigombania nafasi ya 3 au 4? Nyie kubalini tu man ya ss ni moto wa gesi, we tm kati ina Fernandes, Pogba, Matic, af benchi wapo wengine wakali tu ambao kwenye tm zenu wanaanza km Fred, Mctomminay, Pereira n.k af unategemea nini hapo ndugu?
 
For the record
bruno_fernandes.jpeg
 
Back
Top Bottom