Penison
JF-Expert Member
- Nov 4, 2017
- 6,372
- 12,529
Hahahahahahahahah Ukishinda upandi wala hushuki kiwanja namba 5 kipo palepaleHatimae umepotea hahaha
Hahahahahahahahah Ukishinda upandi wala hushuki kiwanja namba 5 kipo palepaleHatimae umepotea hahaha
Mkuu unamzungumziaje Mason Greenwood? pia unamzungumziahe Curtis Jones?Hahahahahahahahah Ukishinda upandi wala hushuki kiwanja namba 5 kipo palepale
Kuwa na heshima Liverpool fc ndio bingwa wa Dunia ,Ulaya ,na Ndio bingwa wa ligi ambayo timu yako ipo nafasi ya 5.Naona Liverfools wanabweka bweka humu
ManMkuu unamzungumziaje Mason Greenwood? pia unamzungumziahe Curtis Jones?
Mkuu upo mature katika hili.....tusubiri mwakani Curtis anaweza kukiwasha pia endapo liver wasiposajili wachezaji wakutoshaMan
Greenwood 16 Goals this season akiwa na miaka 18 Fantastic...Talented player.,The best young player now...Absolute talented.
My Boy Curtis Jones ni talented but is not ready ,Anahitaji kaendelee kujifunza taratibu zaidi akiwa palepale Liverpool.
Kuwa na heshima Liverpool fc ndio bingwa wa Dunia ,Ulaya ,na Ndio bingwa wa ligi ambayo timu yako ipo nafasi ya 5.
Manchester United are the first team in Premier League history to win four straight games with a margin of three goals or more #mulive