Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Van Gaal was the perfect coach to replace SAF.It seems Van Gaal anaumia sana hakufukuzwa Man united kiasi amelialia kwa miaka yote hiyo.
Ni vyema akatulia sasa akalea wajukuu huku kulialia hakutabadilisha uhalisia kuwa Alifaili pale united.
Ole at the wheel
Ni striker mzur ktk mech ngumu kwa muda aliokaa pale kafanya mambo mazur machacheKuendelea kumuona Ighalo OTView attachment 1464549
Nakubaliana na wewe juzi nilikuwa naangalia marudio ya FA mech zake mbili za mwisho everton ns crystal palace mpira ulikuwa unachezwa mzur sana vipi kama angepata watu aliokuwa akiwataka? Alitumia wachezaj wengi wadogo toka kwenye academyVan Gaal was the perfect coach to replace SAF.
Alitakiwa atengeneze filosofia ya Man Utd upya.
Ed Woodward ndo kirisi pale.
Unaposema kuwa huyu Van Gaal alikuwa perfect replacement unamaanisha nini ? Wakati huo Van Gaal alikuja akafanya overhaul ya wachezaji wote vijana walioachwa na Ferguson ?Van Gaal was the perfect coach to replace SAF.
Alitakiwa atengeneze filosofia ya Man Utd upya.
Ed Woodward ndo kirisi pale.
kipindi kile tetesi nyingi zilimuhusisha arjen robben akiwa na miaka yake 31, pengine hoja ya umri ndio ilileta ugumu kwa united kutumia rasilimali fedha kufanikisha dili hilo ndio maana waliamua kuelekeza nguvu kwa angel di maria aliyekuwa na miaka 27.Unaweza kutuambia Van Gaal alimtaka nani akamkosa kisha akaletewa Dimaria ?
Tetesi katika club ya man united ni nyingi sana na ni ngumu sana kusema hii ni ya kweli na hii si ya kweli mpaka unapoona mchezaji kanunuliwa.kipindi kile tetesi nyingi zilimuhusisha arjen robben akiwa na miaka yake 31, pengine hoja ya umri ndio ilileta ugumu kwa united kutumia rasilimali fedha kufanikisha dili hilo ndio maana waliamua kuelekeza nguvu kwa angel di maria aliyekuwa na miaka 27.
pengine louis aliamini mfumo wake wa 3-5-2 unamuhitaji zaidi arjen robben kuliko chaguo jengine.
alileta wachezaji 13 na kati ya hao ni wachezaji watatu ndio wameendelea kuwepo kwenye kikosi