Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Kumbe mpaka huku upo
Hili pogba lisije likamfundisha ujeuri bruno , bruno aache urafik na hili dubwasha
PL si wamesema training hazitakuwa na contact..hii picha ya lini?
Photoshop katika ubora wake.PL si wamesema training hazitakuwa na contact..hii picha ya lini?
Hahahaha Pogba hapendwi sana katika jukwaa hili kwa siku za hivi karibuniHili pogba lisije likamfundisha ujeuri bruno , bruno aache urafik na hili dubwasha
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha!!..Bruno Fernandes' anatupa kiburiHahahaha Pogba hapendwi sana katika jukwaa hili kwa siku za hivi karibuni
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusimnyanyapae dogo watatupeleka nchi ya ahadi soonHahaha!!..Bruno Fernandes' anatupa kiburi
Yes,lakini atulize akili
Wasi wasi wangu mimi timu yetu itakuwa vulnerable sana defensively maana huyo jamaa akiwa na mpira anakuwa threat kotekote kwenye timu yako na kwa opponent at any time atatoa boko mnafungwa pia at anytime anatoa assist mnafunga.Yes,lakini atulize akili
Ole alisema benchi la ufundi lina-figure out ni jinsi gani watawabeba Bruno na Pogba kwa muda mmoja..Sasa sijui ni nani kati ya McTominay,Fred na Matic ataanza kwenye CDM..Maana naona itakuwa ngumu kucheza na viungo wanne..Maybe inawezekana,let's wait and see.Wasi wasi wangu mimi timu yetu itakuwa vulnerable sana defensively maana huyo jamaa akiwa na mpira anakuwa threat kotekote kwenye timu yako na kwa opponent at any time atatoa boko mnafungwa pia at anytime anatoa assist mnafunga.
Sent using Jamii Forums mobile app