mozila firefox
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 898
- 1,764
Kane ni complete package, endapo akitua OT ni fire, ebu angalia hapo chini tuKuna comment nimesoma nimeshangazwa kidogo, kuna watu hawaangalii takwimu za wachezaji. Nimeona watu wanasema Harry Kane ni injury prone hii kitu si kweli.
Harry ameanza kucheza rasmi Spurs kama regular player kuanzia 2014/2015 kabla ya hapo alicheza mechi 11 muda mwingi amekuwa nje kwa mkopo. Amecheza mechi 187 kati ya mechi 219 mpaka msimu huu tulioshia mechi 29 na amefunga magoli 133. Amecheza mechi nyingi kuliko mchezaji yeyote wa Manchester United ukimuondoa David Degea ndani ya misimu sita.
Sasa twende taratibu 2014/2015 - 2019/2020 mchezaji aliyecheza mechi 187 kati ya 219 na kufunga magoli 133 ni injury prone? Katika misimu yote sita ni miwili miwili tu uliopita na msimu huu amecheza mechi chini ya 30 na sehemu kubwa yeye amekuwa hapumzishwi na hana mbadala pale Spurs ndio maana amekuwa akipata majeraha ya mara kwa mara siku za karibuni.
Kuhusu umri, c'mon guys he's 26 years old. Hii ndio peak age kwa mchezaji yeyote yule yaani ana misimu mitano ya kucheza competitive games. Kwangu mimi sioni mshambualiaji yeyote hapa ulimwenguni aliye sokoni ambaye ni sure bet kuja kucheza Manchester United nje ya Harry, the best part chini ya moyo wake jamaa anaipenda sana Manchester United. Ni aina ya mchezaji kama Scott McTominay atakuja kucheza timu ambayo ana mahaba nayo pia.
Bruno+Pogba+Rashford+Kane=CORONA
Tatizo naloliona club sidhani kama itaweza fanya usajiri mbili kubwa dirisha moja, hapa itategemea na kipaumbele cha OGS either #7 au striker
Sent using Jamii Forums mobile app