Kwenye hii game RM walicheza kwa kasi mno kipindi cha kwanza, kipindi cha pili wakawa wamechoka sanasana diMaria na Alonso. Hii hali imetokea hata katika game wanazocheza na Barca.
Mourinho ameogopa mno mpaka akamuingiza Pepe na kuwa na three CB
Haya matokeo ni mazuri kwetu kwani wakija OT tutawafunga za kutosha
Refa ameharibu sana mchezo, mara mbili Ramos amecheza faulo akiwa mtu wa mwisho refa akawa anapotezea, na zaidi ni upu.uzi alioufanya mwishoni kumaliza mpira wakati kona haijapigwa. Alichezesha mechi ya nusu fainali Chelski na Barca ya msimu uliopita na alishawahi kumpa red vidic bweg.e kabisa huyu.