Dstv wameacha kuonyesha futuhi sijui kwanini??Wakuu hii game wanaonesha nasikia ni Startimes!
Kwani kuna decoder zingine tofauti na Startimes wataonesha?
Sent using Jamii Forums mobile app
Go ighalo go!
Martial pancha tena au kapumzishwa tu??
What wrong with ice man, Baily huwa Tia maji sana
cable ni wizi mkuu,huku kwetu zenji hatujawahi kukosa kuangalia mechi kwa kisingizio cha king;amuzi (zanzibar cable, coconut digital wapo onfire), sielewi hizi kampuni zinapata wapi haki miliki ya kuonyesha hizi mechi (sijui wanaibia?) wakati kampuni nyengine kubwa kama vile dstv, azam wanakosa mamlaka ya kuonyesha mechi.
bein sport
channel+ ya ufaransa zote hizo hamupati kwenye ving'amuzi?
itabidi unipe elimu zaidi kuhusiana na hii ishu...cable ni wizi mkuu,
Martial pancha tena au kapumzishwa tu??
Martial alikuwepo kwenye kikosi kilikwenda hotelini, lakini kikosi cha mwisho hayupo
Pengine Ole anajaribu ku manage wachezaji asije akawachezesha sana wakapata injury, katika hiki kipindi kuna mechi nyingi ndani ya muda mfupi, kumbuka Toffees hawapo mbali mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Martial alikuwepo kwenye kikosi kilikwenda hotelini, lakini kikosi cha mwisho hayupo
Pengine Ole anajaribu ku manage wachezaji asije akawachezesha sana wakapata injury, katika hiki kipindi kuna mechi nyingi ndani ya muda mfupi, kumbuka Toffees hawapo mbali mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
mtu akichoma na wao hua pia wanakamatwa ndio maana unaona cable nyingi zipo mikoani zaidi kuliko dar, na kupunguza chance ya wao kukamatwa wanaonesha mpira kwa kutumia chanell ambazo sio za dstv kama vile Bein sport, na hio canal+.itabidi unipe elimu zaidi kuhusiana na hii ishu...
kama ni wezi kwa nini hawachukuliwi hatua yoyote ya kinidhamu na wahusika?
na kama wahusika hawana muda huo kwa nini kampuni nyengine ziongozwe na woga?
Hakukuwa na haja ya kumchezesha Bruno na Fred.
Wangeanza kina Pereira na Juan Mata even James Garner na Dylan Levit
Sent using Jamii Forums mobile app
Fred hakuonekana na wapiga picha, ikadhaniwa hataanza, ila naona ameanzishwa
Angeanza Matic na Tominay na Fernandez, Fred atokee benchi ikibidi, kuwaanzisha hao madogo kwenye game muhimu kama hii ni too risk Mkuu, kumbuka aggregate iliyopo haimpi kocha kiburi cha kuchezesha hao madogo
Ole anayapa haya mashindano uzito mkubwa kwa kuwa ni moja kati njia za kucheza UCL mwakani (naamini haya ni kati ya malengo aliyowekewa na Ed) na kupata walau silverware msimu huu
Kiukweli Fred ametumika sana na tuombe asiumie kwani ni mchezaji muhimu sana kwetu kwa wakati huu
Sent using Jamii Forums mobile app