Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu kocha hafai mpuuzi yaani Mata anamuanzishaga benchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu Martial kilichobaki tumtumie kumleta Sancho. Kama inawezekana .

Beggars can't be choosers
 
Bado najiuliza.

Inamaana Anthony Martial amekuwa garasa kwa uzembe wake au mbinu za kocha zimeshundwa kumfanya ang'are?

Wachezaji wanakuja wazuri, ila kocha ana mbinu mbovu mpaka wanashindwa kuonesha viwango vyao kwa muda mrefu.

Daniel James naye hivyohivyo.

Bado naamini Martial hajawa mbovu kiasi hiki, kocha ndie mbovu. Hana mbinu sahihi za kutumia wachezaji wenye vipaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usisahau

Martial alicheza vizuri chini ya Van Gaal. Mourinho alivyokuja na kumnyang'anya jezi namba 9 na kumpa namba 11, ukichanganya na mgogoro wa mahusiano na mpenzi wake enzi hizo hawajaoana, ndiyo ukawa mwanzo wa kuyumba.

Hivyo Ole kamkuta alishayumba tayari. Sema ndo hivyo, naye kashindwa kumrudisha enzi za kung'ara.
 
Sawa... Ila mi kwangu yupo kwenye 80-90...ngoja atulie au aende timu nyingine kama lukaku ndo utamuona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…