Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu hata ukimdumbukiza humo Casemiro na Kroos au Mesi hauwezi sema wako bora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sio Sporting Lisbon, inaitwa

Sporting Clube de Portugal (sporting cp)

Beggars are not choosers
 
BOUN hawakuwa tayri kumuachia, ukizingatia wanapambana wasishuke daraja.

Kumuachia ilihitaji Man u itoe kitita kirefu.
Kuna sources zinasema, £50ml.

Kwa mtu mwenye akili timamu huwezi mnunua Josh king(28), hata kwa £30ml.
Tungekuja hapa kumponda tena ED na board yake.

Beggars are not choosers
 
Solskiejar hana uwezo wa kuendeleza kipaji cha mchezaji kikafika palipotakiwa. Kocha hana mbinu za kutosha hivyo sitashangaa huyu BF kugeuka na kuwa average player
 
Solskiejar hana uwezo wa kuendeleza kipaji cha mchezaji kikafika palipotakiwa. Kocha hana mbinu za kutosha hivyo sitashangaa huyu BF kugeuka na kuwa average player
Upo serious kabisa hayo maneno?
-Kocha ambaye yupo responsible kwa trio ya Rooney/tevez/Ronaldo hajui kudevelop vipaji?
-kocha ambaye wakati yupo u23 ndio kikosi bora kabisa cha watoto miaka ya karibuni kikatoka kuanzia pogba, lingard, drinkwater, king, keane etc
-kocha aliembadili fred toka flop mpaka sasa ni fan favourite
-martial na rashford wote wapo kwenye form of their lives
-kocha alimtoa Haaland jalalani na watu kibao kumtabiria kakosea mpaka leo tunamuona super star
-kocha ambaye hata kabla Greenwood hatujamuona akifanya yake akasema Ni natural scorer ambaye hajawahi kumuona (anasema maneno hayo Rashford na Martial wapo kwenye form mwanzo wa ligi), na leo tunaona vision yake ilivyo accurate.
-mc tominay, wilson, james, lindelof wote wapo kwenye peak ya viwango vyao.

Wachezaji wachache sana utasema viwango vyao vimeshuka chini ya ole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…