Watu hawafahamu umuhimu wa kuwa na wachezaji wanaoheshimu jezi, Mc tominay kipaji chake kidogo sana lakini anajua umuhimu wa kuvaa ile jezi.
Madongo anatupiwa ole lakini hio ni mentality ya mchezaji tayari. Na kazi kubwa tunayoifanya sasa hivi ni cultural reboot, toa mercenary wote waje vijana wenye njaa ya mafanikio ambao watapambana dakika zote 90.
Dah wewe jamaa upo makini sana kichwani mwakoKumsajili BRUNO ni sawa sawa na kufunga Gear box mpya kwenye GARI BOVU, sasa muendelee kulitengeneza gari lenu kwa kununua:-
1. Engine mpya
2. Matairi mapya
3. Mrekebishe umeme wa gari kuna waya unipiga shot (POGBA)
4. Mrekebishe body ya gari na kuipiga rangi
5. Na pale mbele ya gari mfunge ngao mpya ngumu na imara. Ondoeni huyo ya zamani (Matial).
6. Pia Kuna mguu unagonga sana (Lingard) ubadilisheni.
HONGERENI KWA USAJILI WA BRUNO, BONGE LA USAJILI.
Sent using Cash Money Wings
Hapo kwenye anything real msaada Tafadhali tafsiriThere is something Manchester United have lost. That "pride to be in" factor. View attachment 1341389
Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo mzuri,akiongezaa bidii kidogo na umakini basi tuna left back wa kueleweka..Kwa mnaoangalia mechi za Man u, nisaidieni.
huyu Brandon Williams mnamuelewaje?
lolote, pogba hakuna asiyejua kuwa ni kirusi, uliona mwenyewe kocha kukumtumia mechi muhimu kwa sabb za pogba mwenyewe. Let things be bwana. Akiumwa makusudi let him be, akitaka kupambana nafasi yake ipo, hivyo ndivyo kocha alivyomchukukia, kocha anamtumia mchezaji anataka atumike, na wote wanaopewa Chance hiyo wanafanya vizur.Dah wewe jamaa upo makini sana kichwani mwako
Preference yake ilikuwa kuja kucheza Uingereza. Alipoulizwa kuhusu timu, akasema yoyote tu.Hapo kwenye anything real msaada Tafadhali tafsiri
Hahahaha sio kwwli sorry lkn.sio kqamba sijui kabisaPreference yake ilikuwa kuja kucheza Uingereza. Alipoulizwa kuhusu timu, akasema yoyote tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
tupia ka pichaWELCOME Bruno Fernandes
Wapi nimetaja pogba mkuu?Na unam rank PP kama mfia timu?
Lukaku alicheza kwa ajili ya timu kuliko Mr. attention Pogba anavyojitolea kwenye timu
Sent using Jamii Forums mobile app
-mshahara unaohisiwa ni 70KKaribu Old Trafford Bruno Fernandes View attachment 1341452View attachment 1341453
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani hamujafuzu?? Halafu ma fans wa Chelsea tupo super bright sana ..unatuchukuliajeWe jamaa huwa huelewagi mpira kabisa, mashabiki wengi (sio wote) wa Chelsea huwa mpo hivi,
Samata atutoboe wapi sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi nimetaja pogba mkuu?
Lukaku kaondoka man u ana kilo zaidi ya 100 alikuwa anaifiaje hio timu?
Kwani hamujafuzu?? Halafu ma fans wa Chelsea tupo super bright sana ..unatuchukuliaje
Sisi ndo fans wenye IQ kubwa kuliko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ngoja tutarudi kwenye khali yetu mkuu ..usiwe na shaka..Watu washasahau humu...ngoja tutarudi baada ya siku kadhaa
Uzito unaendana na urefu maguire ni mrefu zaidi ya lukaku, medical za inter alikuwa na kg 104, hapo tayari ameshahudhuria pre season na Man U.Hujamtaja kama mfia timu, japo hujamtaja kama muangusha timu kama unavyomtaja Lukaku
Maguire pia ana kilo 100,naye tumuuze mkuu, Captain na anaonekana ni mfia timu au wewe unamuona sio mfia timu kwa kuwa ana kilo 100?
Sent using Jamii Forums mobile app