Tuangalie rekodi ya EPL pekee kuanzia msimu wa 2006/07 hadi anastaafu.
2006/2007- winner
2007/2008 - winner
2008/2009 - winner
2009/2010 - runner up
2010/2011 - winner
2011/2012 - runner up, ubingwa uliamuriwa dakika ya 95.
2012/2013 - winner.
Ndani ya misimu saba ya ligi, alichukua kombe mara 5.
Kweli timu ilikuwa imeshaanza kumshinda.
Naisubilia siku ambayo heshima ya Ferguson itaisha kwa kashfa ya kwamba alikuwa ananunua marefa.......Na marefa pia wameondoka sio fergie pekee. Howard Webb hayupo tena
Nilichowaza baada ya mechiOGS out of depth, ukimtazama anatia huruma
Positivity pekee, tumepigwa tuone haja kusajili na kumpumzisha OGS
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu bado ana matumaini na huyu mmasaai Ole?
Kila siku kwenye press anasema wanaimarika na wachezaji wake wanafanya vizuri,kwa nini tumkasirikie Ed wakati Ole ni mnafiki?
Kuponda ni rahisi sana kuliko kutafuta solution.Chief-Mkwawa aje kutupa progress ya timu chini ya Ole.
Nikijaribu kuiona siioni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akirudi ni ubishi wake tu.Tuangalie rekodi ya EPL pekee kuanzia msimu wa 2006/07 hadi anastaafu.
2006/2007- winner
2007/2008 - winner
2008/2009 - winner
2009/2010 - runner up
2010/2011 - winner
2011/2012 - runner up, ubingwa uliamuriwa dakika ya 95 mechi ya kufunga ligi.
2012/2013 - winner.
Ndani ya misimu saba ya ligi, alichukua kombe mara 5.
Kweli timu ilikuwa imeshaanza kumshinda.
This is scary you knowUnder Mourinho, United conceded 26 goals in the entire 2017/18 season, with Jones, Smalling, Young and Valencia in defence. In 2019/20 Ole's United has conceded 26 goals in 24 games with the world's most expensive defender and the world's most expensive full-back.
Ole at the wheel
Yes Van gal alikua Anatupeleka sehemu sahihi kabisa yule ndo tuliitaji kumpa mda hata mpira ulikua mzuri sana shida ikawa ufungaji tu lakini timu ilionekana kubadilika kiuchezaji... Sasa huyu mmasai anasema timu ina improve sijui kutokea wapi maana hamna tunachoweza kufunga shida hata pasi complete 10 shida, labda kuna sehemu mnaona tunaimprove mimi sioni shabiki newbie.Yaani sielewi kwann mpaka sasa OGS ajafukuzwa? sielewi uko mazoezini uwa anafundisha nin wachezaji? yaan sielew
Pamoja na udhaifu wa management, OGS hatoshi
Toka Sir Alex aondoke, kocha aliyeonekana anafanya rebuilding alikua LVG tu, yaani only LVG, nafikiri zambi ya kumfukuza huyu babu inamuandama kirusi WoodwardView attachment 1331614
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh naona leo haters mmeamia umu, nyongo zenu zote mnazitoaHiki ni kikundi cha wahuni na wavuta bangi kilichoamua kucheza mpira
Mkuu hata akija Bruno kwa kocha huyu hamna muujiza, Bruno tutamuona wa kawaida tu